Simao Latino
JF-Expert Member
- Jan 11, 2025
- 477
- 608
(1) Tanzania Football Federation.
(2) Egyptian Football Association.
(2) Egyptian Football Association.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, kwa hiyo yanatumika "interchangeably"?inategemea jinsi katiba zao zilivyoandikwa,na zinaweza kuwa zina fanana.
tff inajiita federation kwasababu ni muunganiko wa vyama vya mpira wa miguu vya mikoa,sasa yawezekana pia pia na hicho chama cha misri maana yake ni hiyo hiyo ila wao wakatumia neno association
yesMkuu, kwa hiyo yanatumika "interchangeably"?
(1) Tanzania Football Federation.
(2) Egyptian Football Association.
Kwa hiyo Tanzania tuna associations nyingi lakini Egypt kuna association moja ndio maana soka lao lipo juu kulizidi la Tanzania??..Federation = Muunganiko wa associations
Kwa hiyo Tanzania tuna associations nyingi lakini Egypt kuna association moja
ndio maana soka lao lipo juu kulizidi la Tanzania??..
Unaposema association maana yake mpira wa kikapu netball basketball vyote vipo kwenye association
Federation = Muunganiko wa associations
Soma vizuri unielewe mkuu soma taratibu comment yangu mbona nimesema sio association mkuu huo ni mfano tu soma tena vizuri.Mpira wa kikapu Tanzania upo chini ya federation (TBF) na sio association...
wote hamko sahihi.Soma vizuri unielewe mkuu soma taratibu comment yangu mbona nimesema sio association mkuu huo ni mfano tu soma tena vizuri.
Mbona Azam ni F.C na sio S.C mkuu?vilabu vya Tanzania mwanzo vilikuwa vinatumia football club CAF wakavitaka watumie sports club
Mkuu, sasa kwanini ilitoka kuwa FAT (A=Association) mpaka kuwa TFF (F=Federation) if "interchangeability" is the case?
Ndio maana kwenye mechi za Caf champions walichukua team ya wanawake kutoka team nyingine kwasababu hyo na ndio sababu yanga na simba zinatimu za wanawake.Mbona Azam ni F.C na sio S.C mkuu?
Mbona kwenye CAF Championships Matches Azam F.C wanaume walicheza??..Ndio maana kwenye mechi za Caf champions walichukua team ya wanawake kutoka team nyingine kwasababu hyo na ndio sababu yanga na simba zinatimu za wanawake.
Ipi sahihi mkuu tupe maarifa.wote hamko sahihi.
FAT je?Unaposema association maana yake mpira wa kikapu netball basketball vyote vipo kwenye association lakini federation ni mpira tu either Male or female football
Moja ni shirikisho, pili ni umoja(1) Tanzania Football Federation.
(2) Egyptian Football Association.
Muundo wa taasisi ulibadilishwa kwa mujibu wa maelekezo ya fifa na cafMkuu, sasa kwanini ilitoka kuwa FAT (A=Association) mpaka kuwa TFF (F=Federation) if "interchangeability" is the case?