fimboyaukwaju
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 2,977
- 3,798
michezo ipi?FAT je?
Hii iliitwa Football Association of Tanzania
Sasa hiyo michezo mingine inaingiaje kwenye Football
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
michezo ipi?FAT je?
Hii iliitwa Football Association of Tanzania
Sasa hiyo michezo mingine inaingiaje kwenye Football
hapana muundo wa hivi vyama afrika nzima unafananaKwa hiyo Tanzania tuna associations nyingi lakini Egypt kuna association moja ndio maana soka lao lipo juu kulizidi la Tanzania??..
michezo ipi?
hapana huyo hayuko sahihi,kila chama cha michezo kinahusika na aina moja tu ya mchezo
Kwa hiyo wao Egypt waligoma kufuata maelekezo ya FIFA na CAF na kuamua kubaki na Association badala ya kuhamia kwenda federation??..Muundo wa taasisi ulibadilishwa kwa mujibu wa maelekezo ya fifa na caf
Kama muundo unaofanana kwanini mmoja ni FA na mwingine awe FF??..hapana muundo wa hivi vyama afrika nzima unafanana
ff ni yupi?Kama muundo unaofanana kwanini mmoja ni FA na mwingine awe FF??..
Football Federation..ff ni yupi?
footbal federatio na footbal assocition ni sawasawa kimamlaka kwa mujibu wa caf na fifaFootball Federation..
Kwa hiyo hakukuwa na haya ya kutoka FAT na kuwa TFF??..footbal federatio na footbal assocition ni sawasawa kimamlaka kwa mujibu wa caf na fifa
Ball ni mpira inawezekana ikawa basketball netball hyo foot isikuchanganye ndio maana nimekwambia kwamba real Madrid ni mfano wa ninacho kizungumza wana team mpaka ya basketball wale jamaa.FAT je?
Hii iliitwa Football Association of Tanzania
Sasa hiyo michezo mingine inaingiaje kwenye Football
Kweli darsa kubwa linahitajika unasoma text nusu nusu mkuu anzia mwanzo wa mjadala utaelewa.Mbona kwenye CAF Championships Matches Azam F.C wanaume walicheza??..
Mhh..Kweli darsa kubwa linahitajika unasoma text nusu nusu mkuu anzia mwanzo wa mjadala utaelewa.
Hiyo inaweza kuaply vijijini hukoBall ni mpira inawezekana ikawa basketball netball hyo foot isikuchanganye ndio maana nimekwambia kwamba real Madrid ni mfano wa ninacho kizungumza wana team mpaka ya basketball wale jamaa.