The MaskmaN
JF-Expert Member
- Sep 28, 2017
- 350
- 764
Ebu soma vizuri cv ya yule mama uone kama hana cpa.huko private sector huwezi fikia kuwa cfo afu usiwe na cpa aisee..hiyo nakataaKpmg, delloite, pwc, ernst and young. Ina madogo kibao hawana cpa ila wapo nondo sana. Na ndio hao hao wanaopata nafasi kubwa za kihasibu sehemu kibao.
Mfano yule CEO wa NMB bank amefanya kazi pwc miaka 10 na hana cpa ila standard chartered wakampa u chief financial officer na alivyohamia NMB akapewa u CFO na then u CEO..
Kuna sehemu ukifanya kazi hata kama huna CPA unakuwa unajua kazi.
Na huko wanakushauri ufanye ACCA sababu ya international assigments kazini
Ila na experience wanazingatia zaidi maana wengine wana CPA lakini kazidiwa mshahara ambaye hana CPA ila ana experience zaidHalmashauri mwenye CPA (T) na asiye na CPA tofauti yao laki 2
Kwanin mtu aliesomea degree mbali na uhasibu anafanya CPA kwa lengo gni??Ila na experience wanazingatia zaidi maana wengine wana CPA lakini kazidiwa mshahara ambaye hana CPA ila ana experience zaid
ushauri mzuri munooKpmg, delloite, pwc, ernst and young. Ina madogo kibao hawana cpa ila wapo nondo sana. Na ndio hao hao wanaopata nafasi kubwa za kihasibu sehemu kibao.
Mfano yule CEO wa NMB bank amefanya kazi pwc miaka 10 na hana cpa ila standard chartered wakampa u chief financial officer na alivyohamia NMB akapewa u CFO na then u CEO..
Kuna sehemu ukifanya kazi hata kama huna CPA unakuwa unajua kazi.
Na huko wanakushauri ufanye ACCA sababu ya international assigments kazini