Kuna tofauti kubwa kati ya Masaki niliyoishi mimi na Masaki ya leo

Sisi wenyewe tunazo 10 ila zina fensi
 
Hapo sijazungumzia frame na viduka uchwara.... hadi mama ntilie
kule mwisho kabisa makonde vilikuwepo vyote hivyo mda tu kule tulikua tunajipigia wali nyama buku na gongo unapata mpaka papuchi hadi jero unapata.
upande wa pili sasa ndio ushuani usivuke uende chole,sellasie road hadi kuna border badae ukitembea tu slipway hii hapa tatizo nyie mlikua watoto wa geti ukitoka mjini,shule ukirudi ndani unacheza p3 na kunywa maziwa.
wagumu tulikua jirani tu tunapiga mishe na kona zetu tunazijua.masaki hiyohiyo
 
Fresh kaka. That's the spirit! Kuteseka ni kawaida ndugu yangu, wanaume tumeumbwa mateso
 
Bila kutaja miaka ya kipindi unachokiita "enzi hizo" au "wakati huo" huu uzi ni BATILI.
 
Sema Mbweni sasa hivi ni habari nyingine na mji unakuwa kuelekea Bagamoyo, natamani Dar na Pwani ingeunganishwa uwe mkoa mmoja tu uitwe Dar ili watu wasogeesogee huko, na waondokane na ile dhana ya kutaka kuonekana hawaishi Dar wanaishi nje ya miji
 
Masaki ilikua mbali na sehemu zenye harakati nyingi kama kariakoo na posta.

Ila kadri muda unavyozidi kusogea watu wanasogelea maeneo wanayoishi watu kwenda kufanya biashara.
Hata maeneo mengi pembezoni mwa mji ilikua ni makazi tu, lakini sasa bar na ofisi mbalimbali zinafunguliwa.

Wale tusiopenda kelele tunazidi kusogea tu, acha tuendelee tu miaka 50 ijayo tutafika mikumi
 
Sema Mbweni sasa hivi ni habari nyingine na mji unakuwa kuelekea Bagamoyo, natamani Dar na Pwani ingeunganishwa uwe mkoa mmoja tu uitwe Dar ili watu wasogeesogee huko, na waondokane na ile dhana ya kutaka kuonekana hawaishi Dar wanaishi nje ya miji
Mbweni ya washua kbs ni noma.
 
We utakuwa unampata smbdy kamaka na wakina kiligini

Ova
Hapana kaka, labda kwa majina mengine to name a few, watu maarufu nilikuwa nawafahamu I mean mabro ni kina Mpoki Mwambenja pamoja na Adili (Nigga One) na Robert Mwingira (D-Rob) all the way from Morogoro Stores , Ahmed mtoto wa gavana wa benki kuu mstaafu mzee Rashid ambaye alikuwa opposite na bro Mpoki hawa jamaa walikuwa wakipiga ma- House Party they have influenced me to be diehard fan wa rap music until today I bang Hip Hop music to the fullest.RIP Bro Mpoki,Adili na Rob.🤍🤍🤍🕊️
 
Kumbe tulikuwa pamoja pande hizo mimi nilikuwa na ishi hapo morogorostore mtaa wa mzinga way[emoji1787] shule nilisoma oyster bay primary school
 
Siyo chini ya serikali ya ccm ya team msoga ....wahuni wa msoga wao kaziyao ni kuvunja na kuharibu tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…