Kuna ubaya kutoa nywele za katikati ya makalio, katika ule mfereji wote?

Mungu aliiumba miilili yetu katika hali ya ukamilifu
Hivi vinyweleo havipo hapo kimakosa. Ukitaka kuona imuhimu wake kavikwangue leo alafua baada ya siku tatu utasimulia athari zake
Kwa hvyo na wanawake nao wasitoe waache zikue ili wasipate hzo atharii au??
 
Nakushauri usinyoe kwani zinakatikaga zenyewe.
Umenikumbusha kule jeshini wakati tunafanya usahili kuna mwenzetu kwenye kupimwa mwili (nadhani hapa wale walopitia wanajua) alikutwa kanyoa zote pale pale akaonekana hafai na huwezi amini alipewa nauli akarudi nyumbani kwa kosa hilo tuu
 
[emoji3]
Sidhan kwa Mtt w kiume uliekamilik km kuna haja ya kuzitoa [emoji3][emoji3][emoji3]
 
".....kuna ubaya kuziondoa hizi nyweli yani nikakwangua hasa mpaka sehemu ikawa paraa "

UNATAKA ugundue nini baada ya kuzinyoa

Kama kwenu mnayaita makata..ma..vi, sasa ukiyanyoa siutajiongezea shughuli ya kuwa unakwenda chooni na kisu....[emoji45] [emoji45] au mimi ndio sijakuelewa vizuri...[emoji2] [emoji2]

Unataka upapendezeshe ili iweje!! Kuna anaekuona!!! Au zinakupa shida!!! Oky sawa hamna ubaya je ukishazinyoa unataka ufanye nini?? Maana ile washel kuipaka mafuta lazima utoe hizo nywele kwanza

Nimecheka si kidogo kwa majibu haya. Duuuh!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
kweli magu katunyosha....sio kwa topic hi aiseeee...[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mwanaume anaesafisha chumba chake,ujiandaa kupokea mgeni. Maandalizi mema mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…