Kwa vizazi vya hovyo vya kiafrika solution NI kuuza..Kuna wanafamilia wanataka kufuja na kuneemeka wenyewe kwenye rasilimali za uridhi haangaiki kutafuta kwingine NI hapo hapo na akipata mwenza mjinga...kwa hulka yetu waafrika suluhisho NI kuuzwa Kama haikuwa nyumba ya biashara maana mwisho wa siku itauzwa au itakosa namna ya kuuzwa au kuendelezwa na kuwa uchafu kizazi Cha nne kikija kinataka kuuza Cha tatu kitapinga na ulitokea mgao itakuwa NI peanuts