Kuna ubaya kuuza nyumba ya urithi ili hali marehemu enzi za uhai wake alikataa

Kuna ubaya kuuza nyumba ya urithi ili hali marehemu enzi za uhai wake alikataa

600ml-1.2bl kutegemeana na eneo ilipo!
Time frame ya kurithishana mpaka kufikia warithi 150 at per inakataa boss. Aliyeijenga hiyo nyumba aliirithisha mwaka gani? Maana assumption ni kuwa kufikia warithi hai 150, hao ni vilembwe, vilembwe wa marehemu.
 
Umesamsaliti marehemu. Ni sawa tu na mtu akakuachia pesa upeleke nyumbani kwake halafu akafa kisha ukaila. Hakuna sheria ya kukuhukumu ila unabaki kuwa msaliti.
Hapa itakuwa umekula si halali Yako lakini kama ni urithi unaokuhusu ni Mali halali kuanzia pale mwenye mali anapokufa basi uhalali unabaki kwa warithi na ndiyo wanabeba maamuzi ya hizo Mali...
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Time frame ya kurithishana mpaka kufikia warithi 150 at per inakataa boss. Aliyeijenga hiyo nyumba aliirithisha mwaka gani? Maana assumption ni kuwa kufikia warithi hai 150, hao ni vilembwe, vilembwe wa marehemu.
Hakuna hesabu itakayokubali hiyo mantiki yake
 
Hapo hakuna uvivu...


Shida inakuja pale ambapo Mali sasa inamilikiwa na wengi kwahyo suluhu ya hapo ni kuuza kwa sababu kuigawa nyumba kwa wengi haiwezekani...hapo hakuna suala la uvivu
Huyo mwenye mali alikua akitatua matatizo mwenyewe bila kuiuza.

Wao wapo wengi wanashindwaje kutatua matatizo yao kwa kushirikiana bila kuuza mali za mtu mwingine.
 
Hapa itakuwa umekula si halali Yako lakini kama ni urithi unaokuhusu ni Mali halali kuanzia pale mwenye mali anapokufa basi uhalali unabaki kwa warithi na ndiyo wanabeba maamuzi ya hizo Mali...
Yes boss, ndo maana nikasema kama marehemu kakwambia nakuachia hii nyumba ila usiuze, uwape wajukuu zangu halafu wewe ukauza umekula si halali yako.
 
Yes boss, ndo maana nikasema kama marehemu kakwambia nakuachia hii nyumba ila usiuze, uwape wajukuu zangu halafu wewe ukauza umekula si halali yako
Ujukuu hauwezi kuwa mrithi halali kama marehemu atakuwa na watoto hata kama alisema labda iwekwe katika maandishi kutoka kwa marehemu (tunaita wosia wa marehemu) tofauti na kufanya hivyo bado kauli ya marehemu haipaswi kuongoza walio wazima
 
Wenye experience na mali za urithi tunaomba uzoefu wenu kwa vile watoto wa marehemu hali zao za kimaisha sio nzuri wanahitaji kujikwamua kiuchumi je wakiuza nyumba na Kila mtu akichukua stahiki yake ili kujiendeleza Kuna ubaya
Ndio nimeshasema msiuze kitu changu.
 
Ujukuu hauwezi kuwa mrithi halali kama marehemu atakuwa na watoto hata kama alisema labda iwekwe katika maandishi kutoka kwa marehemu (tunaita wosia wa marehemu) tofauti na kufanya hivyo bado kauli ya marehemu haipaswi kuongoza walio wazima
Sasa mbona unajipinga mwenyewe tena boss?

Unakubali kwamba mtu akikupa pesa upeleke nyumbani kwake halafu akafariki kisha ukaila umekula isiyo halali ila unakataa kwamba mtu akikupa nyumba yake umtunzie kwa ajili ya wajukuu zake yeye akafariki kisha ukaiuza hiyo inakuaje ni halali?
 
Wenye experience na mali za urithi tunaomba uzoefu wenu kwa vile watoto wa marehemu hali zao za kimaisha sio nzuri wanahitaji kujikwamua kiuchumi je wakiuza nyumba na Kila mtu akichukua stahiki yake ili kujiendeleza Kuna ubaya
Mkuu
Kuuza Nyumba sio vizuri.
Kwa
 
Sasa mbona unajipinga mwenyewe tena boss?

Unakubali kwamba mtu akikupa pesa upeleke nyumbani kwake halafu akafariki kisha ukaila umekula isiyo halali ila unakataa kwamba mtu akikupa nyumba yake umtunzie kwa ajili ya wajukuu zake yeye akafariki kisha ukaiuza hiyo inakuaje ni halali?
Nadhani wewe ndiyo unajichanganya hapo
Pesa ya mtu (kwa maana ww huna uhalali nayo hata kama ikitokea mwenye pesa anakufa wewe sio mrithi) kwahiyo kitendo Cha kutofikisha hiyo pesa kwa muhusika basi umezurumu halali ya wengine

Tukija kwenye mali ambayo wewe ni mrithi halali mfano baba Yako amefariki lakini wakati anafarikiakakwambia usiuze ili wake kurithi wajukuu bila kuacha maandishi ya kisheria maana yake maamuzi ya hii mali yatabaki ndani Yako kwasababu wewe ndiyo mrithi halali na sio wajukuu...ukiuza hujamsaliti yeye kwa sababu yeye ameshafariki tayari na uhalali unabaki kwako
 
Nadhani wewe ndiyo unajichanganya hapo
Pesa ya mtu (kwa maana ww huna uhalali nayo hata kama ikitokea mwenye pesa anakufa wewe sio mrithi) kwahiyo kitendo Cha kutofikisha hiyo pesa kwa muhusika basi umezurumu halali ya wengine

Tukija kwenye mali ambayo wewe ni mrithi halali mfano baba Yako amefariki lakini wakati anafarikiakakwambia usiuze ili wake kurithi wajukuu bila kuacha maandishi ya kisheria maana yake maamuzi ya hii mali yatabaki ndani Yako kwasababu wewe ndiyo mrithi halali na sio wajukuu...ukiuza hujamsaliti yeye kwa sababu yeye ameshafariki tayari na uhalali unabaki kwako
Ok, baba yako kakupa pesa upeleke kwa wajukuu zake kisha akafariki na wewe ukaila, umekula halali yako?
 
Ok, baba yako kakupa pesa upeleke kwa wajukuu zake kisha akafariki na wewe ukaila, umekula halali yako?
Hapo umefanya wizi japo una uhalali nayo😅
 
  • Kicheko
Reactions: Tsh
uza uende kitambaa cheupe. hiyo hela huwa haifai kabisa itakusumbua wala haiwezi kufanya jambo la maana.
 
Mali i.e Fedha na Assets kama majumba, ardhi magari n.k vina mafungamano ya kiroho na aliyevitafuta. Vikienda kinyume na matakwa ya mchumaji hata kama amekufa—nafsi/roho huwa haifi—huleta shida. Acheni mambo ya kuuza. Busara ni kuigeuza hiyo nyumba kitegauchimi.
 
Mim naona fwafteni ushauri wa marehemu aliowapa kuliko kukimbilia kuuza soloution mjipange mtafte vyenu tu mkiuza mtaishia kutapatapa ayo matatizo mlionayao Bila mali ya Marehemu kuwepo ina maana mnegeshindwa kutatua
Moja kati ya shauri bora sana barikiwa sana, kuuza sio suluhisho la matatizo yenu, msiuze msiuze.
 
Back
Top Bottom