Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Kama kweli hana roho mbaya basi anipe mali na kuniacha nizile kwa uhuru. Si anipe kwa shingo upande sababu ameshindwa kwenda nazo kaburini.Marehemu angekuwa na roho mbaya asingekuachia urithi. Tatizo ni njaa zako tu na huenda marehemu anajua huwa unaongozwa na njaa hivyo akaacha wosia.
Ukishaongozwa na njaa kufanya maamuzi ni mara chache sana ukafanya kitu cha maana, utauza na pesa zitapotea sababu maamuzi yanatoka tumboni. Ndo ile unasikia marehemu kafa na mali zinamfata.
Kuwaambia watu wasiuze mali yako ukifa ni kilele cha roho mbaya.