tetea tete
JF-Expert Member
- Jul 19, 2015
- 388
- 127
Kama mwenye nyumba alikataa kwanini mnauza? Kama mnataka kuuza Jengeni yenuKama kweli hana roho mbaya basi anipe mali na kuniacha nizile kwa uhuru. Si anipe kwa shingo upande sababu ameshindwa kwenda nazo kaburini.
Kuwaambia watu wasiuze mali yako ukifa ni kilele cha roho mbaya.