Madwari Madwari
JF-Expert Member
- Sep 16, 2014
- 1,825
- 3,085
Sijawahi ona mtu aliweza nyumba,shamba au kiwanja amepiga hatua. Mara nyingi wanarudi nyuma baada ya kufanya hivyo hata kama hilo mali ni ya kwao na sio ,a kurithi.Wenye experience na mali za urithi tunaomba uzoefu wenu kwa vile watoto wa marehemu hali zao za kimaisha sio nzuri wanahitaji kujikwamua kiuchumi je wakiuza nyumba na Kila mtu akichukua stahiki yake ili kujiendeleza Kuna ubaya