Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mkuu mpo watano. Mkiuza nyumba mnapata milioni 200. Mkiiacha watakaa ndugu au mtapangisha kwa 500K max kwa mwezi, maana nyumba yenyewe ya zamani. Si bora mgawane milioni 40 kila mmoja kuliko hiyo laki laki ya mwezi. Hiyo laki itakuwa mwanzo wa kuangamizana.Hii kila mtu afe na chake imeangamiza familia nyingi sana, na sio mpango bora, fanyeni kampuni za asset na mali zisizohamishika!, na kila memba kuwa na nyumba bora inakuwa ndiyo msingi mkuu!
Wenzetu wahindi katika mazazi yao, huzingatia koo fulani zenye ujirani na familia, lakini dada zetu hawa wa leo wanazaliana hovyo na makabila mengine ya ajabu ajabu na kuzaa vitoto vyenye tabia za ajabu ajabu ni shida sana.Unadhani wajukuu zako watakuwa wangapi?
Wataelewana?
Kwa kawaida mali hasa nyumba za urithi ni changamoto sana. huwa zinaleta mpasuko kwa ndg kufikia hadi kuuwana
Ni bora wauze
Tunachokwepa baadhi ya wanafamilia wataharibu fedha na baadae kuanza kulalama ovyo!Sasa mkuu mpo watano. Mkiuza nyumba mnapata milioni 200. Mkiiacha watakaa ndugu au mtapangisha kwa 500K max kwa mwezi, maana nyumba yenyewe ya zamani. Si bora mgawane milioni 40 kila mmoja kuliko hiyo laki laki ya mwezi. Hiyo laki itakuwa mwanzo wa kuangamizana.
Kwani ni lazima ugombanie mkuuKukaa na mali ya urithi mkiwa wengi ndiyo kutafuta ugomvi. Bora muuze kila mtu afe na chake.
na wakati akiwa hai mliwahi kuonyesha dalili za kugombania mali?Alikataa enzi za uhai wake hata kama akitangulia
Dah umasikini n mbaya sana aiseeHiyo Ina apply kwa family zinazojiweza kwa watu wa kipato Cha chini ni Bora Kila mtu afe na hamsini zake sababu hiyo nyumba inaweza kuwa mwanzo wa matatizo ya kupigana juju ukizingatia ni watoto wanne
Kama alikataa isiuzwe ni heri kuipangishaWenye experience na mali za urithi tunaomba uzoefu wenu kwa vile watoto wa marehemu hali zao za kimaisha sio nzuri wanahitaji kujikwamua kiuchumi je wakiuza nyumba na Kila mtu akichukua stahiki yake ili kujiendeleza Kuna ubaya
Hakuna ubaya wowote...
Nyumba ni tofauti maana si mnaishi humoKukaa na mali ya urithi mkiwa wengi ndiyo kutafuta ugomvi. Bora muuze kila mtu afe na chake.
Marehemu anaposema msiuze mara nyingi nia ni kuwe na kitu cha kuwaunganisha. Muwe na kwenu ambapo wajukuu watafika na kukaa pamoja kuwakumbusha kuwa nyinyi ni kitu kimoja.Sasa mkuu mpo watano. Mkiuza nyumba mnapata milioni 200. Mkiiacha watakaa ndugu au mtapangisha kwa 500K max kwa mwezi, maana nyumba yenyewe ya zamani. Si bora mgawane milioni 40 kila mmoja kuliko hiyo laki laki ya mwezi. Hiyo laki itakuwa mwanzo wa kuangamizana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Uza. Marehemu aache nongwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Marehemu alipambana wamepata pa kuishi, wao wameshindwa hata kupambania matumbo yao????
[emoji1][emoji1][emoji1]Uzeni, asiyekuwepo na lake halipo