Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Ndio unataka uuze upate nauli ya kurudi mkoa? Au ukipata hela unakomaa na jiji 😹Hawaishi hapo wanajitegemea wamepanga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio unataka uuze upate nauli ya kurudi mkoa? Au ukipata hela unakomaa na jiji 😹Hawaishi hapo wanajitegemea wamepanga
Nataka niende SouthNdio unataka uuze upate nauli ya kurudi mkoa? Au ukipata hela unakomaa na jiji 😹
hivi kipindi kile uliachaga mbegu sauziNataka niende South
Hebu tupate wadhamini kwanza.😄😄Natamani huu uzi ndugu zangu waupitie au mtoa mada ni yule bro mkubwa wa familia
Kwahiyo South ndio jalala sasa hivi la waliopoteza muelekeo?Nataka niende South
Wewe Baba wewe; Unasema kila mtoto alishakuwa mtu mzima ila mambo hayajawaendea vizuri eti wanatafuta mtaji kwa kukiuka Agizo la marehemu? Tena unasema huo ni Mtaji ambao hauna presha ya marejesho!!!Inakuwaje kuuza nyumba ya urithi ukawa ubogus Kila mtoto alishakuwa mtu mzima na kwa bahati mbaya mambo yao hayajawaendea vizuri wanatafuta mitaji na kuuza nyumba ni the only way ya kuwa na mtaji ambao utakuwa hauna presha ya marejesho ambapo kwa malengo baadae wanaweza kuchanga na kujenga nyumba Tena kwa ajili ya familia nzima
Washenzi wangejua tunavyopambana na pepmis kupata hizo nyumba hata wasingewaza kuuza🤣🤣🤣🤣Marehemu alipambana wamepata pa kuishi, wao wameshindwa hata kupambania matumbo yao????
IUZE , KWA KUZINGATIA YA KWAMBA UNAMNUNULIA MAREHEMU NYUMBA KWANZA, KIASI KINACHOBAKIA GAWANENI HAKUNA SHIDA YOYOTE, USISAHAU HILI, HAPO KWENYE NYUMBA YA MZEE ILIPO, CHUKUWA JIWE NA UDONGO KARAI MOJA, NENDA KAUWEKE KWENYE MAKAZI MPYA!, FANYA HIVI MTABAKI SALAMA.Alikataa enzi za uhai wake hata kama akitangulia
Omba upate watoto wenye hekima, formula ambayo ipo na haikwepeki, uzazi unavyosonga mbele ndipo hulazimu asset kuuzwa, basi ziuzwe kwa hekima.Washenzi wangejua tunavyopambana na pepmis kupata hizo nyumba hata wasingewaza kuuza🤣🤣🤣🤣
Wee ni kijana wa Hovyoo! Mzazi mwenye Hekima huacha urithi Kwa Wana wa wanawe.Mali za wajukuu na vijukuu hizo,tafuta zakoWenye experience na mali za urithi tunaomba uzoefu wenu kwa vile watoto wa marehemu hali zao za kimaisha sio nzuri wanahitaji kujikwamua kiuchumi je wakiuza nyumba na Kila mtu akichukua stahiki yake ili kujiendeleza Kuna ubaya
Wauze kwa hesabu maalumu, tusiwaonee wivu.Wee ni kijana wa Hovyoo! Mzazi mwenye Hekima huacha urithi Kwa Wana wa wanawe.Mali za wajukuu na vijukuu hizo,tafuta zako
Kutamani wazee wafe ili upate ni jambo baya sana sana, lilaaniwe!Kuna watu wanatamani wazee wao wafe haraka ili apate kujikwamua kwa urithi.