Mali za mtu aliyekufa huwa ni za warithi, hivyo hao ndiyo wenye maamuzi ya nini kifanyike katika mali hizo, lakini kwa ushauri wangu ni bora kila mtu achukue cha kwake baada ya kifo tu, kwani mkichelewesha na wakati ukipita ukorofi lazima utatokea ikiwa kizazi kingine kitakapotaka mali za wazazi wao ambao ndiyo warithi.Wenye experience na mali za urithi tunaomba uzoefu wenu kwa vile watoto wa marehemu hali zao za kimaisha sio nzuri wanahitaji kujikwamua kiuchumi je wakiuza nyumba na Kila mtu akichukua stahiki yake ili kujiendeleza Kuna ubaya