Kuna ubaya wowote mtu kumpenda mke wa mtu? Mbona Daudi alimpenda mke wa Uria na akabarikiwa?

hahahaha mada za paschal wakati mwingine haziko direct kiivo inabidi uwe unajua yanayaoendelea nyuma ya pazia kupata maana kamili

90% huwa zipo hvyo mie nikionaga uzi wake naanzaga kucheka kwanza! ila leo nimechemka aiseee sikufikirisha ubongo kbs ! nimecomment kwa hisia zaid lo! YAMENISHUKA
 
MAYALA, USIDANGANYE WATU. TUSOME UPYA BIBLIA 2 Samweli 12:9-12 ''Kwa nini umelidharau neno la BWANA, na kufanya yaliyo mabaya machoni pake? Umempiga Uria, Mhiti kwa upanga, nawe umemtwaa mkewe awe mke wako...basi sasa, upanga hautaondoka nyumbani mwako,...BWANA asema hivi, Angalia, nitakuondokeshea uovu katika nyumba yako, nami nitatwaa wake zako mbele ya macho yako, na kumpa jirani yako, naye atalala na wake zako mbele ya jua hili (AKIMAANISHA MCHANA KWEUPEEEEE UNAONA MCHEPUKO WA MKE WAKO UNAMFUATA MUBASHARA MKEO BILA KUPEPESA MACHO)...wewe ulifanya jambo lile kwa siri; bali mimi nitalifanya jambo hili mbele ya Israeli wote na mbele ya jua''.
Naomba unijibu maswali haya kwa hoja (SIYO HOJA ZA CRITICAL THINKING AND ARGUMENTATION) namaanisha hoja za Kibiblia kwa kuwa umemega sehemu ya Biblia kujenga hoja yako:
1. Daudi alibarikiwaje?
2. Wapi Biblia imesema kuwa mkewe Uria alikuwa na mgogoro wa kindoa au kutotoshewa na mume wake?
3. Je, unaamini kuwa yule yule aliyesema USIZINI ndiye yule yule jana, leo na hata milele?
4. Unakumbuka kuwa wake zake Daudi wote waliwahi kuchukuliwa mateka na wakaenda kuvuliwa nguo na mtu mwingine tena Daudi akiwa mfalme? Je, hiyo kwako ndiyo baraka?
5. Unamkumbuka Amnoni mtoto wa Daudi alivyotimiza neno la BWANA (2 Sam 13:1-) kwa kuzini na dada yake (Tamari) tena kwa kumbaka? Je, Uhalisia wa kilichoendelea mara baada ya kubakwa kwa yule binti ndani ya familia ya mfalme Daudi ni mfano wa kuiga hata tutamani wake za watu? (rejea Absalomu mtoto mkubwa wa Daudi alivyomuua Amnoni miaka miwili baadae tangu binti abakwe)
6. Unazungumziaje jaribio la mapinduzi ya kijeshi alilofanya Absalomu kwa mfalme Daudi? Kosa la kutamani mke wa mtu halikuwahi kumwacha salama Daudi, aliapiwa na Mungu kuwa UPANGA hautaondoka nyumbani mwake, je na wewe waweza kuwa-precaution wazinzi wote kwa kufuata hoja hizi hapa juu???
OGOPA SKETI YA MKE WA MTU, NAKUHESHIMU MZEE.
 
..mke wa mtu mtamu sana...mwaka jana mke wa mtu kanipa dudu lake nikapiga kiyama....kisa bwana wake hakuwa anamtimizia...eti kutwa kucha anashinda kwenye punyeto na porno....mwaka huu huyo wife amenipigia ananitafta...eti ameachana na mumewe jumla....duh.kumbe ndoa imevunjika baada ya kuonja utam nje.....nimesepa...maana sitaki kesi na jamaa yake...wake za watu wamekua shidaaaa siku hizi...
 
Mayalla unataka nini kwa Maghu?
Yule wadhiri wa utumisi nasikia kajazwa na asie mme wake.

Ubuyu wa Mangee huo.
 
Huu ni upotoshaji wa Neno la Mungu. Mungu hakufurahia aliyofanya daudi (kumchukua mke wa kamanda wake wa jeshi)
 
Umeandika vizuri sana mkuu, Daudi alileta laana nyumbani kwake. Hata sisi tunaochepuka leo, utakuta mtu kaoa/kaolewa lakini dyudyu lake lipo uchi kwa kila mtu, ni laana tu ns mikosi tunaitafuta kwa familia zetu, ni heri ukachukua hatua moja mbele, DIVORCE then uanze kukitembeza kwa kila mtu.

Wenye ndoa wengi siku hizi ni bure kabisa.
 

Leo mpaka na Wewe uko huku Mkuu? Nahisi kuna tatizo mahala si bure! Siku zote ukishazoea kumuona Mtu anaendesha tu yale Malori makubwa makubwa kabisa ya Mafuta / Mizigo ya kwenda Congo DR, Rwanda, Burundi, Zambia na Malawi halafu siku ukambahatisha kumkuta anaendesha Kibito au Kivitsi lazima tu utashtuka / kushangaa.
 
Raisi wa nchi huwa anamkulia wapi huyo mama? Kwa maana raisi wetu hatoki nje ya nchi, sasa raisi anawezaje tu kutembea na Waziri kirahisi rahisi hivi hivi? Mmemtafuuta koote raisi wetu mmemshindwa sasa mnaaza character assassination, ...
Na nyie akili zenu wakati mwingine sijui huwa mnawaza nini, kilichotolewa kwenye 'uzi' kingine we umesharukia kwa rais.... anyway hata huyo uliemtaja huongozani nae kila sehemu kujua anakomlia huyo waziri (kwa msemo wako maana we ndio umelileta hilo, halikuwepo hapa)... Halafu wakati mwingine kujishtukia ndio kunako waadhiri siku zote.
 
Subiri nkeo akipendwa na njemba nae akaitikia mziki ndio uje tena na swali hili.
 
Afadhali kivista au kibito, ukamkuta anasukuma ndinga la maji taka au la kuzolea taka!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…