Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
No commentView attachment 2969983
Usitupangie matumizi wewe baki na afya yako sisi tuendelee kujiumiza
Unaachaje pombe. Inasaidia vingi sana aisee. Sijawahi kujuta.Mzee bab mad max kwako bora kuacha mke na sio pombe
Ebu sema suuuuh.Hakuna ugumu wowote, wanajiendekeza tu.
Huna Hela Kaa kimya tu, tafuta Hela kijanaHii kitu ina hasara nyingi tofauti na faida yake, hivi unawezaje kung'ang'ania biashara isiyokuwa na faida.?
Ndugu zangu sote tu mashuhuda pombe ina madhara makubwa hasa unapokuwa addicted.
Unapoteza utashi wa akili na inaleta madhara makubwa ndani ya kiungo cha mwili, hvi ata kuacha unywaji wa pombe inahitaji mahubiri....Acha ulevi ndugu yangu kwa ustawi wa afya ya mwili wako na kwa faida ya familia yako.
Muda huu wa weekend kubadilisha mabaa kwanin usiutumie pengine kutulia na familia yako ama kutoka out na familia, na hii bora zaid kuliko kwenda kesha mabaa.
[emoji16][emoji16][emoji16]Mosi, vichache sana umeandika ni vya ukweli.
Na pili, topic ya kuacha pombe haiwezi kuanzishwa weekend ikaeleweka. Ungeanzisha J3.
Mkuu unaogopa bure tu. Haina madhara kama mnavodanganywa.Dah! umetisha ndugu, ila wanasema usipoziba ufa mapema utajenga ukuta ama pengine nyumba nzima.
Kabisa Kabisamlevi yoyote ni mpumbavu
Ila mnywaji je?mlevi yoyote ni mpumbavu
mlevi yoyote ni mpumbavu
Wanatushauri tuache pombe ili tuwe wazinzi kama wao.Nionapo nyuzi za watu kutaka kuacha au kushawishi watu waache pombe nafsi yangu huwa inajaa na simanzi sana, WHY uache pombe, WHY, nchi hii itajengwa na nani kama walevi tusipo kuwepo??
Unasemaje M/Kiti?Hakuna ugumu wowote, wanajiendekeza tu.
Kunywa ila usilewe,,,,Hii kitu ina hasara nyingi tofauti na faida yake, hivi unawezaje kung'ang'ania biashara isiyokuwa na faida.?
Ndugu zangu sote tu mashuhuda pombe ina madhara makubwa hasa unapokuwa addicted.
Unapoteza utashi wa akili na inaleta madhara makubwa ndani ya kiungo cha mwili, hvi ata kuacha unywaji wa pombe inahitaji mahubiri....Acha ulevi ndugu yangu kwa ustawi wa afya ya mwili wako na kwa faida ya familia yako.
Muda huu wa weekend kubadilisha mabaa kwanin usiutumie pengine kutulia na familia yako ama kutoka out na familia, na hii bora zaid kuliko kwenda kesha mabaa.
Utakunywaje usilewe?Kunywa ila usilewe,,,,