Kuna ugumu gani wa kuacha unywaji wa Pombe?

Kuna ugumu gani wa kuacha unywaji wa Pombe?

png-transparent-barack-obama-white-house-honey-ale-beer-president-of-the-united-states-chuck-n...png
 
Maamuzi tu,mbona mimi naweza kupumzika kunywa nakaa hata wiki mbili nakuwa mapumzikoni
Kuna wakati hata mwezi na wakati ukifika nalianzisha

Ova
 
Hii kitu ina hasara nyingi tofauti na faida yake, hivi unawezaje kung'ang'ania biashara isiyokuwa na faida.?

Ndugu zangu sote tu mashuhuda pombe ina madhara makubwa hasa unapokuwa addicted.

Unapoteza utashi wa akili na inaleta madhara makubwa ndani ya kiungo cha mwili, hvi ata kuacha unywaji wa pombe inahitaji mahubiri....Acha ulevi ndugu yangu kwa ustawi wa afya ya mwili wako na kwa faida ya familia yako.

Muda huu wa weekend kubadilisha mabaa kwanin usiutumie pengine kutulia na familia yako ama kutoka out na familia, na hii bora zaid kuliko kwenda kesha mabaa.
Ww endelea tu na soda zako mkuu
 
1. Mithali 3:9-10 – "Mheshimu BWANA kwa mali yako, na kwa malimbuko ya mazao yako yote; ndipo ghala zako zitakapojaa tele, na mashinikizo yako yatafurika divai mpya."

2. Mhubiri 9:7 – "Enenda, ukale chakula chako kwa furaha, na ukanywe divai yako kwa moyo mwema; kwa sababu Mungu amekwisha kuyakubali matendo yako."

3. Zaburi 104:14-15 – "Huotesha majani kwa wanyama, na mimea kwa mahitaji ya wanadamu, ili kuleta chakula kutoka ardhini, na divai iwapendezao mioyo ya wanadamu, na mafuta kuyang'ariza nyuso zao, na mkate umpao mtu nguvu."

4. 1 Timotheo 5:23 – "Usiwe unakunywa maji tu, bali tumia kidogo divai kwa ajili ya tumbo lako na maradhi yako ya mara kwa mara."
 
Sema hivi "kuna ugumu gani wa kuacha ulevi?". Wengine pombe ni kama chakula. Mf. Serengeti mbili kila siku zinaongeza kiwango cha damu mwilini na kuufanya mwili uwe na nguvu.
 
Hii kitu ina hasara nyingi tofauti na faida yake, hivi unawezaje kung'ang'ania biashara isiyokuwa na faida.?

Ndugu zangu sote tu mashuhuda pombe ina madhara makubwa hasa unapokuwa addicted.

Unapoteza utashi wa akili na inaleta madhara makubwa ndani ya kiungo cha mwili, hvi ata kuacha unywaji wa pombe inahitaji mahubiri....Acha ulevi ndugu yangu kwa ustawi wa afya ya mwili wako na kwa faida ya familia yako.

Muda huu wa weekend kubadilisha mabaa kwanin usiutumie pengine kutulia na familia yako ama kutoka out na familia, na hii bora zaid kuliko kwenda kesha mabaa.
Alosto ndio kipengele kushindwa kuacha🍺🍺
 
Pombe haina tatizo ila tatizo ni anayeitumia.
 
Back
Top Bottom