๐๐๐Nionapo nyuzi za watu kutaka kuacha au kushawishi watu waache pombe nafsi yangu huwa inajaa na simanzi sana, WHY uache pombe, WHY, nchi hii itajengwa na nani kama walevi tusipo kuwepo??
๐ณ๐wa mara mojamoja sio mbaya japo nae akishalewa tayari ni mpumbavu mtarajiwa pia
uchawi upo, we si ndio umetoa ushauri mbovu wa kuacha pombe???kila nikijaribu kuacha moja ya ulevi huu kati ya hvi nashindwa..Punyeto, pombe, madawa ya kulevya, uasherati na betting.
Vitu hvi vitano ni hatari kwa kweli.
Yaani mpaka naingia kwenye ndoa mpaka naingia utu uzima najaribu kuacha lakin nashindwa.
Mzee bab mad max kwako bora kuacha mke na sio pombe
Mwenyewe ๐นmlevi yoyote ni mpumbavu
na wewe ni mtumiaji wa vimiminika vyenye kileo ndani yakeMwenyewe ๐น
na wewe ni mtumiaji wa vimiminika vyenye kileo ndani yake
ukishalewa na shida ndio zinakwisha ni mujiza gani huu wallah"Msiwape pombe wafalme watasahau majukumu yao, bali wapeni pombe masiki wanywe wasahau shida zao"
Mkuu nisinywe afu niteseke? muda wote nikae nakumbuka shida zangu? Kweli hata we unaona sawa??๐น
Haututendei haki kabisa.Hakuna ugumu wowote, wanajiendekeza tu.
Ni suala la mtu binafsi. Na hata ugumu unatofautiana kati ya mtu na mtu.Hii kitu ina hasara nyingi tofauti na faida yake, hivi unawezaje kung'ang'ania biashara isiyokuwa na faida.?
Ndugu zangu sote tu mashuhuda pombe ina madhara makubwa hasa unapokuwa addicted.
Unapoteza utashi wa akili na inaleta madhara makubwa ndani ya kiungo cha mwili, hvi ata kuacha unywaji wa pombe inahitaji mahubiri....Acha ulevi ndugu yangu kwa ustawi wa afya ya mwili wako na kwa faida ya familia yako.
Muda huu wa weekend kubadilisha mabaa kwanin usiutumie pengine kutulia na familia yako ama kutoka out na familia, na hii bora zaid kuliko kwenda kesha mabaa.
Soma tena injinia, kusahau na kumaliza ni neno moja.....ukishalewa na shida ndio zinakwisha ni mujiza gani huu wallah
nikiwaita walevi ni wapumbavu nakosea
naona umelewa nduguSoma tena injinia, kusahau na kumaliza ni neno moja.....
Wanywaji wa mirinda nyeusi mna mambo sana