Kuna ugumu Gani wa kumfikisha mwanamke kilelen?

Kuna ugumu Gani wa kumfikisha mwanamke kilelen?

Binafsi nilichelewa kuingia kwenye ulimwengu wa kimahusiano. Moja ya sababu zilizonichelewesha ni uoga wa kutongoza. Nilikuwa mjanja sana ila Zuzu Kwa wanawake. Kutongoza ilikuwa ni adhabu kwangu, niliamua kuchagua Maisha tofauti mapenzi nikawaachia wengine!!

Muda mwingi niliutumia kujifunza kuhusu mapenzi, Moja ya kelele nilizokutananazo ni Tatizo la kutomfikisha mwanamke kileleni na shida ya nguvu za kiume..

Nilichogundua, sababu pekee inayoweza pelekea mwanamke asifike kileleni ni UBAKAJI, Yani kulazimisha tendo pasipo hiari yake..

Sasa huwa sielewi, kwanini wanawake wengi bado wanalalamikia kutofikishwa ama malalamiko yao ni FAKE Ili kutengeneza mazingira ya kutusimanga wanaume!!
Bro mwanamke kufika kileleni kuna factor nyingi sana lakini pia kufika kileleni sio kazi kwa mwanamke ni vile basi tu jamii tumeichukilia hiyo dhana kinamna yake..kama kukiwa na ushirikiano kati ya mwanamke na mwanaume basi jambo hilo ni rahisi sana labda nijaribu kutaja mambo kwa uchache yanayosaidia kwa mwanamke kufika kileleni kwa upeo wangu:
1.ili mwanamke afike kileleni lazima uingie moyoni yaani akupende sisi wanawake bana kama sijakupenda hujaingia moyoni aise nakuona kama mdudu tu nitafake tu ili umalize nisepe
2.ili mwanamke afike kileleni angalau akuzoee kidogo yani muwe na ukaribu akujue kidogo angalau kalee kahofu kauanamke katoweke yani awe free kujiachia kwako
3.Kujua sehemu ambayo mwanamke atakuwa stimulated hapa kila mwanamke anamahala pake ambapo akishikwa au akiguswa lazima samaki aingie kwenye ndoani sasa hapa ni masuala ya kuambiana ,demu wako akwambie ni mahala gani ukimgusa au ukimshika anasisimka we utakuwa unacheza na hio angle.
4.Lile tendo linaanzia kwenye brain ni muhimu kuandaana kisaikolojia kuwa bana leo nimemis io kitu ukija tu lazima nikudake so demu wako nakuwa anajua kabisa leo nikienda kwa mshikaji tu lazima nibanduliwe so akili yake yote inakuwa kwenye tendo.
5.Kuwepo na uhakika wa kupendwa,demu wako awe ajue kuwa jamaa ananifeel na anafurahia tendo na mimi hapo ni rahisi kujiachia,hivyo hata kwenye tendo inasaidia kurahisisha kazi ya kufika kileleni
Mwisho kabisa pendwa unapopendwa mwanamke akikupenda madhaifu yotee hatayaona hata uwe na kibamia ye ataona unamtarimbo na kama hujamridhisha ataangalia namna ili wote mfike either atakwambia or atakushauri or atajiongeza..
Sema siku hizi mambo yamebadilika UNAYEMPENDA HAKUPENDI NA ANAYEKUPENDA HUMPENDI kufika kileleni labda cha mlima Kilimanjaro...au Meru
 
Bro mwanamke kufika kileleni kuna factor nyingi sana lakini pia kufika kileleni sio kazi kwa mwanamke ni vile basi tu jamii tumeichukilia hiyo dhana kinamna yake..kama kukiwa na ushirikiano kati ya mwanamke na mwanaume basi jambo hilo ni rahisi sana labda nijaribu kutaja mambo kwa uchache yanayosaidia kwa mwanamke kufika kileleni kwa upeo wangu:
1.ili mwanamke afike kileleni lazima uingie moyoni yaani akupende sisi wanawake bana kama sijakupenda hujaingia moyoni aise nakuona kama mdudu tu nitafake tu ili umalize nisepe
2.ili mwanamke afike kileleni angalau akuzoee kidogo yani muwe na ukaribu akujue kidogo angalau kalee kahofu kauanamke katoweke yani awe free kujiachia kwako
3.Kujua sehemu ambayo mwanamke atakuwa stimulated hapa kila mwanamke anamahala pake ambapo akishikwa au akiguswa lazima samaki aingie kwenye ndoani sasa hapa ni masuala ya kuambiana ,demu wako akwambie ni mahala gani ukimgusa au ukimshika anasisimka we utakuwa unacheza na hio angle.
4.Lile tendo linaanzia kwenye brain ni muhimu kuandaana kisaikolojia kuwa bana leo nimemis io kitu ukija tu lazima nikudake so demu wako nakuwa anajua kabisa leo nikienda kwa mshikaji tu lazima nibanduliwe so akili yake yote inakuwa kwenye tendo.
5.Kuwepo na uhakika wa kupendwa,demu wako awe ajue kuwa jamaa ananifeel na anafurahia tendo na mimi hapo ni rahisi kujiachia,hivyo hata kwenye tendo inasaidia kurahisisha kazi ya kufika kileleni
Mwisho kabisa pendwa unapopendwa mwanamke akikupenda madhaifu yotee hatayaona hata uwe na kibamia ye ataona unamtarimbo na kama hujamridhisha ataangalia namna ili wote mfike either atakwambia or atakushauri or atajiongeza..
Sema siku hizi mambo yamebadilika UNAYEMPENDA HAKUPENDI NA ANAYEKUPENDA HUMPENDI kufika kileleni labda cha mlima Kilimanjaro...au Meru
asante kwa hili gazeti lako 😂
 
Bro mwanamke kufika kileleni kuna factor nyingi sana lakini pia kufika kileleni sio kazi kwa mwanamke ni vile basi tu jamii tumeichukilia hiyo dhana kinamna yake..kama kukiwa na ushirikiano kati ya mwanamke na mwanaume basi jambo hilo ni rahisi sana labda nijaribu kutaja mambo kwa uchache yanayosaidia kwa mwanamke kufika kileleni kwa upeo wangu:
1.ili mwanamke afike kileleni lazima uingie moyoni yaani akupende sisi wanawake bana kama sijakupenda hujaingia moyoni aise nakuona kama mdudu tu nitafake tu ili umalize nisepe
2.ili mwanamke afike kileleni angalau akuzoee kidogo yani muwe na ukaribu akujue kidogo angalau kalee kahofu kauanamke katoweke yani awe free kujiachia kwako
3.Kujua sehemu ambayo mwanamke atakuwa stimulated hapa kila mwanamke anamahala pake ambapo akishikwa au akiguswa lazima samaki aingie kwenye ndoani sasa hapa ni masuala ya kuambiana ,demu wako akwambie ni mahala gani ukimgusa au ukimshika anasisimka we utakuwa unacheza na hio angle.
4.Lile tendo linaanzia kwenye brain ni muhimu kuandaana kisaikolojia kuwa bana leo nimemis io kitu ukija tu lazima nikudake so demu wako nakuwa anajua kabisa leo nikienda kwa mshikaji tu lazima nibanduliwe so akili yake yote inakuwa kwenye tendo.
5.Kuwepo na uhakika wa kupendwa,demu wako awe ajue kuwa jamaa ananifeel na anafurahia tendo na mimi hapo ni rahisi kujiachia,hivyo hata kwenye tendo inasaidia kurahisisha kazi ya kufika kileleni
Mwisho kabisa pendwa unapopendwa mwanamke akikupenda madhaifu yotee hatayaona hata uwe na kibamia ye ataona unamtarimbo na kama hujamridhisha ataangalia namna ili wote mfike either atakwambia or atakushauri or atajiongeza..
Sema siku hizi mambo yamebadilika UNAYEMPENDA HAKUPENDI NA ANAYEKUPENDA HUMPENDI kufika kileleni labda cha mlima Kilimanjaro...au Meru
Namba 4 nakazia
 
Kila mwanamke yuko tofauti. Mwingine anataka kifo cha mende ndo afike. Mwingine sijui mpaka umguse wapi....Mwingine hataki penetration kabisa bali uguse tu pale katika lango takatifu...

Shida sasa ya hawa wenzetu huwa hawatoi combination ya miili yao (mapema). Wanasubiri mpaka uuzoee mwili wake uje ugundue mwenyewe. Baharia umeweka mkongo wako unatwanga lisaa lizima mwenzio jicho kavuuu unaishia kumkera tu na kumuumiza....

Kumbe kadhia hizi zingeepukwa kwa kupeana combination za kwenye safe mapema watu mkarelax na kufurahia pamoja. Na kwa hili wazungu nawapa A+++ maana binti wa kizungu anakupa kombinesheni mapemaa kabisa ili kama unashindwa ushindwe mwenyewe tu.

Wetu hawa combination hakupi halafu akitoka hapo anakwenda kukusema eti hujamfikisha? Au anaishia kujifanyisha tu kuwa kafika huku moyoni anasonya hatari...

Let's be open to each other and enjoy that holly bonding in harmony satisfaction...[emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji8][emoji8][emoji8]

Ewaaaaah
 
Binafsi nilichelewa kuingia kwenye ulimwengu wa kimahusiano. Moja ya sababu zilizonichelewesha ni uoga wa kutongoza. Nilikuwa mjanja sana ila Zuzu Kwa wanawake. Kutongoza ilikuwa ni adhabu kwangu, niliamua kuchagua Maisha tofauti mapenzi nikawaachia wengine!!

Muda mwingi niliutumia kujifunza kuhusu mapenzi, Moja ya kelele nilizokutananazo ni Tatizo la kutomfikisha mwanamke kileleni na shida ya nguvu za kiume..

Nilichogundua, sababu pekee inayoweza pelekea mwanamke asifike kileleni ni UBAKAJI, Yani kulazimisha tendo pasipo hiari yake..

Sasa huwa sielewi, kwanini wanawake wengi bado wanalalamikia kutofikishwa ama malalamiko yao ni FAKE Ili kutengeneza mazingira ya kutusimanga wanaume!!
Usimzingatie sana mwanamke anaweza kusema sijafika kilele kumbe kamaanisha nimefika kilele na anaweza kusema nimefika kilele kumbe hajafika
 
Back
Top Bottom