Mafian cartel
JF-Expert Member
- Nov 19, 2021
- 3,876
- 7,118
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Km mwanamke hayuko tayari kufika kibo au mawnzi,hakuna mwanaume wa kumfikisha.Binafsi nilichelewa kuingia kwenye ulimwengu wa kimahusiano. Moja ya sababu zilizonichelewesha ni uoga wa kutongoza. Nilikuwa mjanja sana ila Zuzu Kwa wanawake. Kutongoza ilikuwa ni adhabu kwangu, niliamua kuchagua Maisha tofauti mapenzi nikawaachia wengine!!
Muda mwingi niliutumia kujifunza kuhusu mapenzi, Moja ya kelele nilizokutananazo ni Tatizo la kutomfikisha mwanamke kileleni na shida ya nguvu za kiume..
Nilichogundua, sababu pekee inayoweza pelekea mwanamke asifike kileleni ni UBAKAJI, Yani kulazimisha tendo pasipo hiari yake..
Sasa huwa sielewi, kwanini wanawake wengi bado wanalalamikia kutofikishwa ama malalamiko yao ni FAKE Ili kutengeneza mazingira ya kutusimanga wanaume!!
😁😁 ngoja nikanunue japokua nilisex nae mda mrefu sana lkn tiba n boraVimelea utakuwa navyo so lazima uwaumbukize wanawake wengine Anza kutumia flucunazole ujitibu
Nimeshaachana nae muda mrefu sana toka mwaka jana mwezI wa 10 sjui kama bado anao au vpHuyo ni mgonjwa ana PID huyo kamtibu
UNA AKILI ZA KUJUA KAMA AMEFIKA KILELENI AU LA?Binafsi nilichelewa kuingia kwenye ulimwengu wa kimahusiano. Moja ya sababu zilizonichelewesha ni uoga wa kutongoza. Nilikuwa mjanja sana ila Zuzu Kwa wanawake. Kutongoza ilikuwa ni adhabu kwangu, niliamua kuchagua Maisha tofauti mapenzi nikawaachia wengine!!
Muda mwingi niliutumia kujifunza kuhusu mapenzi, Moja ya kelele nilizokutananazo ni Tatizo la kutomfikisha mwanamke kileleni na shida ya nguvu za kiume..
Nilichogundua, sababu pekee inayoweza pelekea mwanamke asifike kileleni ni UBAKAJI, Yani kulazimisha tendo pasipo hiari yake..
Sasa huwa sielewi, kwanini wanawake wengi bado wanalalamikia kutofikishwa ama malalamiko yao ni FAKE Ili kutengeneza mazingira ya kutusimanga wanaume!!
Kwann ulale Kama Gogo?? Lodge umelipiwa, chakula umenunuliwaa
Ukiwa Kama Gogo ni ukosefu WA shukrani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naam Kila mtu ajifikishe Mwenyewe kileleni [emoji16][emoji16][emoji16]
Utelezi uwe utelezi kweli, sio dk2 inabidi watu waanze kutafuta vilainishi vingine[emoji16]Cha msingi utelezi nimekupa, pambana mwenyewe umwage.
Doctor heshima yako.Kila mwanamke yuko tofauti. Mwingine anataka kifo cha mende ndo afike. Mwingine sijui mpaka umguse wapi....Mwingine hataki penetration kabisa bali uguse tu pale katika lango takatifu...
Shida sasa ya hawa wenzetu huwa hawatoi combination ya miili yao (mapema). Wanasubiri mpaka uuzoee mwili wake uje ugundue mwenyewe. Baharia umeweka mkongo wako unatwanga lisaa lizima mwenzio jicho kavuuu unaishia kumkera tu na kumuumiza....
Kumbe kadhia hizi zingeepukwa kwa kupeana combination za kwenye safe mapema watu mkarelax na kufurahia pamoja. Na kwa hili wazungu nawapa A+++ maana binti wa kizungu anakupa kombinesheni mapemaa kabisa ili kama unashindwa ushindwe mwenyewe tu.
Wetu hawa combination hakupi halafu akitoka hapo anakwenda kukusema eti hujamfikisha? Au anaishia kujifanyisha tu kuwa kafika huku moyoni anasonya hatari...
Let's be open to each other and enjoy that holly bonding in harmony satisfaction...[emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji8][emoji8][emoji8]
Utelezi uwe utelezi kweli, sio dk2 inabidi watu waanze kutafuta vilainishi vingine[emoji16]
Na sisi ni hivo hivo baada ya hapo ni kukuridhisha tuKiujumla Sexy iko ovarated unakuta mtu anatumia hata laki 2 kwa usiku mmoja
Wanaume hatufaidi sana sex mana raha ya sex kwa mwanaume ni kukojoa tu tena bao la kwanza kitendo cha sekunde kadhaa mengine yanayofata ni kutafuta heshima tu
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji119][emoji119]Kweli kabisa hamana mambo ya “baby kataa, sijui nyonga” wewe pambana kivyako
SureKm mwanamke hayuko tayari kufika kibo au mawnzi,hakuna mwanaume wa kumfikisha.
Khaa [emoji28][emoji28]Kwann ulale Kama Gogo?? Lodge umelipiwa, chakula umenunuliwaa
Ukiwa Kama Gogo ni ukosefu WA shukrani.
Sent using Jamii Forums mobile app
FactTRue love ni kitu kingine mkuu, ukimshika tu qnasisimka mwili mzima. Mwanamke kama hakupendi hawezi kufeel chochote hata ufanyaje
Hadi udenda ukanitoka hakyananiMimi nakupa ikiwa na utelezi. Kazi kwako kuulinda usitoweke.
Kama hunipendi kwa nini anivulie? Wanayataka wenyewe..TRue love ni kitu kingine mkuu, ukimshika tu qnasisimka mwili mzima. Mwanamke kama hakupendi hawezi kufeel chochote hata ufanyaje
Shimba unahangaika mwenzako yupo Insta anaangalia Marioo kapost nini!!!!!Kila mwanamke yuko tofauti. Mwingine anataka kifo cha mende ndo afike. Mwingine sijui mpaka umguse wapi....Mwingine hataki penetration kabisa bali uguse tu pale katika lango takatifu...
Shida sasa ya hawa wenzetu huwa hawatoi combination ya miili yao (mapema). Wanasubiri mpaka uuzoee mwili wake uje ugundue mwenyewe. Baharia umeweka mkongo wako unatwanga lisaa lizima mwenzio jicho kavuuu unaishia kumkera tu na kumuumiza....
Kumbe kadhia hizi zingeepukwa kwa kupeana combination za kwenye safe mapema watu mkarelax na kufurahia pamoja. Na kwa hili wazungu nawapa A+++ maana binti wa kizungu anakupa kombinesheni mapemaa kabisa ili kama unashindwa ushindwe mwenyewe tu.
Wetu hawa combination hakupi halafu akitoka hapo anakwenda kukusema eti hujamfikisha? Au anaishia kujifanyisha tu kuwa kafika huku moyoni anasonya hatari...
Let's be open to each other and enjoy that holly bonding in true mutual satisfaction...[emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji8][emoji8][emoji8]
Kila mwanamke yuko tofauti. Mwingine anataka kifo cha mende ndo afike. Mwingine sijui mpaka umguse wapi....Mwingine hataki penetration kabisa bali uguse tu pale katika lango takatifu...
Shida sasa ya hawa wenzetu huwa hawatoi combination ya miili yao (mapema). Wanasubiri mpaka uuzoee mwili wake uje ugundue mwenyewe. Baharia umeweka mkongo wako unatwanga lisaa lizima mwenzio jicho kavuuu unaishia kumkera tu na kumuumiza....
Kumbe kadhia hizi zingeepukwa kwa kupeana combination za kwenye safe mapema watu mkarelax na kufurahia pamoja. Na kwa hili wazungu nawapa A+++ maana binti wa kizungu anakupa kombinesheni mapemaa kabisa ili kama unashindwa ushindwe mwenyewe tu.
Wetu hawa combination hakupi halafu akitoka hapo anakwenda kukusema eti hujamfikisha? Au anaishia kujifanyisha tu kuwa kafika huku moyoni anasonya hatari...
Let's be open to each other and enjoy that holly bonding in true mutual satisfaction...[emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji8][emoji8][emoji8]