Kipondo Cha ugoko
JF-Expert Member
- Apr 12, 2023
- 878
- 1,511
Umemaliza mkuu maelezo mafupi yaliyoshiba!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila mtu atafute raha zake.. kukojozana kumepitwa na wakatiBinafsi nilichelewa kuingia kwenye ulimwengu wa kimahusiano. Moja ya sababu zilizonichelewesha ni uoga wa kutongoza. Nilikuwa mjanja sana ila Zuzu Kwa wanawake. Kutongoza ilikuwa ni adhabu kwangu, niliamua kuchagua Maisha tofauti mapenzi nikawaachia wengine!!
Muda mwingi niliutumia kujifunza kuhusu mapenzi, Moja ya kelele nilizokutananazo ni Tatizo la kutomfikisha mwanamke kileleni na shida ya nguvu za kiume..
Nilichogundua, sababu pekee inayoweza pelekea mwanamke asifike kileleni ni UBAKAJI, Yani kulazimisha tendo pasipo hiari yake..
Sasa huwa sielewi, kwanini wanawake wengi bado wanalalamikia kutofikishwa ama malalamiko yao ni FAKE Ili kutengeneza mazingira ya kutusimanga wanaume!!
Wenyewe ndio sisiMmmhhhh kuwa bhn na ww sex waachie wenyew
Nyie viumbe kumbe mko wengi atiAahh sio kweli Mkuu.. ata mie sijawahi naswa na kitu kinachoitwa Gono. Ni Mungu tu
DuhMwanamke kama anakupenda kweli anafika kileleni haraka sana!
Toka niko la tatu nakuona umu unapambana na uzi wa kimasihara ......kuwa bas ww bibi waachie wenzio nao wasikie utamu wa dyudyuWenyewe ndio sisi
Hata usipomwandaa unaweza mfikisha Kwa kumfanya afurahie tendo pekee!!Kuto kuandaliwa vizuri...husababisha mwanamke asifike kileleni
Jiandae kupigiwa sas😭Yaani nimpe hela Tena nimfikishe kileleni? Hilo mi sikubaliani nalo.
😁😁KwaniniWe mgeni ni hii dunia bila shaka
😁😁Kaniingiza cha kike.... ile ni fungus mkuu..? Je na mm siwezi patwa na hy fungus kweli sasa kwa mantiki hyoHayo anayokwambia jamaa ni mafangasi sio goli hizo.
Aahh sio Kwa ujanja wetu lakini😂Nyie viumbe kumbe mko wengi ati
Kama Hana hisia nawe hauwezi mfikisha. Ni sawa na kumbaka. Utaishia kumuumiza tuMkuu, kuna wanawake wamekubuu sana. Yaan hawana hisia kabisa. Hao ndio wengi huwa hawafiki. Ila shida sio ya wanaume, ni kukubuu kwao
La tatu nshakua mkongwe, nipo tangu wewe ukiwa bado baoToka niko la tatu nakuona umu unapambana na uzi wa kimasihara ......kuwa bas ww bibi waachie wenzio nao wasikie utamu wa dyudyu
TRue love ni kitu kingine mkuu, ukimshika tu qnasisimka mwili mzima. Mwanamke kama hakupendi hawezi kufeel chochote hata ufanyaje
Haya bibi kigawe kwa kasiLa tatu nshakua mkongwe, nipo tangu wewe ukiwa bado bao