Mbona masupplier wana taarifa, ila ni swala la muda mfupi tumzigo mpya unaingia, tuko pia tunashoot matangazo mapya na promotion mpya zinakuja piaAsa mbona hamjasema mapema?
Hizi ndo zenyewe sasa... Taratibu utazoeaHizo mimi hazipandi chief
SinaCoz ndipo uwezo wangu ulipoishia.
Una swali lingine?
We fala una Hela Gani, au Hela za nyuma ya keyboard!Mbona unakunywa bia za bei rahisi hivyo?
Hana Hela ya maana huyo mpuuzi tu!Coz ndipo uwezo wangu ulipoishia.
Una swali lingine?
π’π’π’π’π’Wakuu heshima yenu.
Nikiwa kama mtumiaji wa hicho kinywaji,nina malalamiko yangu kwa wahusika.
Toka siku tatu au nne zilizopita kumekua na uhaba mkubwa wa safari lager chupa kubwa hapa Dar.
Nimetembelea bar nyingi za maeneo ya mbezi mwisho,kimara,ubungo,manzese,mwenge,tabata na Kibamba hiyo bia imekua adimu sana.
Aisee naomba wahusika mtolee ufafanuzi wa hili suala vinginevyo hali itakua mbaya kwa sababu wateja wenu wengi tutahamia kwa mshindani wenu mkuu (plisner lager).
Asante