Ambivert88
JF-Expert Member
- Aug 16, 2022
- 3,609
- 6,388
Ushatoa fursa hapa kuna wajuba wanazibana chupa hizo soon wataanza kufyatua za kwao bila TBL kugundua lolote, kaa kwa kutulia ukinyweshwa mchuzi wa supu ya mende usishangae tuAisee naomba wahusika mtolee ufafanuzi wa hili suala vinginevyo hali itakua mbaya kwa sababu wateja wenu wengi tutahamia kwa mshindani wenu mkuu (plisner lager).
Asante
Hii inaitwa bia kubwa kwa watu wakubwa hicho kimtoto hapo wadau wanatembea nacho mfukoni km kijuice fulani hivi
Hii inaitwa bia kubwa kwa watu wakubwa hicho kimtoto hapo wadau wanatembea nacho mfukoni km kijuice fulani hivi
Hicho kimtoto huku kwetu tunakiita kisichana.Hii inaitwa bia kubwa kwa watu wakubwa hicho kimtoto hapo wadau wanatembea nacho mfukoni km kijuice fulani hivi
Ndio hapo ni kubugia Safiri za kutosha
Noma sana hicho kimtoto wadau wanatembea nacho km wamebeba juice fulani hivi amazingHicho kimtoto huku kwetu tunakiita kisichana.
Mwamba ulikuwaga na avatar picha ya chupa ya safari lager kwenye ID yako ukaitoa.Nimetoka kupiga Kilimanjaro lager! Very enjoyable beer
Pigo sana!Wakuu heshima yenu.
Nikiwa kama mtumiaji wa hicho kinywaji,nina malalamiko yangu kwa wahusika.
Toka siku tatu au nne zilizopita kumekua na uhaba mkubwa wa safari lager chupa kubwa hapa Dar.
Nimetembelea bar nyingi za maeneo ya mbezi mwisho,kimara,ubungo,manzese,mwenge,tabata na Kibamba hiyo bia imekua adimu sana.
Aisee naomba wahusika mtolee ufafanuzi wa hili suala vinginevyo hali itakua mbaya kwa sababu wateja wenu wengi tutahamia kwa mshindani wenu mkuu (plisner lager).
Asante
Maghayo The Stress ChallengerrMwamba ulikuwaga na avatar picha ya chupa ya safari lager kwenye ID yako ukaitoa.
Zipo zinafyatuliwa mtaani soon zitakuepo za kutosha wadau wakaze kooPigo sana!
Ndiyo mkuuMwamba ulikuwaga na avatar picha ya chupa ya safari lager kwenye ID yako ukaitoa.
Sasa huo mngalangala wa jeshi wa mwaka 2000 unamaanisha nini?Ndiyo mkuu
Unataka bia za kupigana vidole?Bia za chupa ni kupigana denda
Kopo/can ndo mpango mzimqUnataka bia za kupigana vidole?
Unaelewa ni kitu Gani hicho mkuu?Sasa huo mngalangala wa jeshi wa mwaka 2000 unamaanisha nini?
Kuna baada ya kulewa pia mkuu, nyingine huwafanya watu vichwa viume sana, uchovu sana na nyingine hukata hamu ya kula.Mkuu starehe ya pombe ni kulewa,usichague pombe.
Au ukinywa nyingine hulewi?