Kuna uhusiano gani kati ya kupokea zawadi kutoka Kwa manabii na mtu kupotea kimaisha

Kuna uhusiano gani kati ya kupokea zawadi kutoka Kwa manabii na mtu kupotea kimaisha

lyajody

Senior Member
Joined
Aug 16, 2024
Posts
145
Reaction score
196
Tumeshuhudia anguko la goodluck gozbert baada ya kupokea zawadi kutoka Kwa nabii mkuu ..tutarajie Nini baada ya dada yetu mpendwa shusho kupokea million kumi kutoka Kwa nabii mkuu pamoja na dada yetu huyo kusemekana kuishi kinyumba Kwa muda na mtume maarufu wa kuuza mafuta ya upako... Jamani spiritual life is real tuutafute kwanza ufalme wa Mungu mengine tutazidishiwa sio kupewa tu ni kizisishiwa
Na tuwe makini na hawa matapeli wa kiimani pamoja na hawa waimba gospel flavor
 
Huyo nabii ana migodi ya Tanzanite mpaka kufikia hatua ya kuwa na uwezo wa kugawa hela na magari hovyo kwa watu baki!!
 
Back
Top Bottom