Kuna uhusiano wa kuota ndoto mbaya ukilalia mgongo (Chali)?


nenda kaombewe
 
Swala sio kulala na biblia au msaafu. Kumbuka hata hao wanaokukaba wanaenda kanisani au msikitini. Usalama wako upo katika kuwa na moyo Safi ili ulinzi wa Mungu uwe kwako, otherwise utakabwa hadi ujikute upo kuzimu
 

Anza maombi.
 
Anza maombi.

Mnaosema kuhusu maombi yani mngejua naomba sanaaa huenda hata kuliko ninyi mnaoandika.

Wewe jaribu tu kulala chali leo usiku uone! I think kuna ishu ya brain positioning wkt wa kulala...am not sure
 
Nikaombewe na nani? Ukiugua malaria unaombewa? Shida nahisi itakuwa ni ishu ya position ya kichwa.

Ebu jaribu kulala chali leo usiku

sasa kama ishu ni position ya kichwa unaomba ushauri wa nini si ubadilishe position ya kichwa?mbona mi hata nikilala chali au hata nilale vipi sikabwi?
 
MziziMkavu nimependa utafit wako
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Tamatheo Anachotakikana afuate ushauri wangu utamsaidia sio kuweka kitabu cha Biblia chini ya mto hakitoweza kufukuza ndoto za kukabwa.

MziziMkavu nimependa utafit wako
Mkuu Jerrymsigwa Umependa utafiti wangu basi hata kuniwekea (Like) Umeshindwa? Au ndio Big Deal kwako?
 
nenda kaombewe unachezewa wewe!
 
Kijana iyo ni michezo ya waswahili tu,utahadithiwa sana ni-PM nikupe namba ya fundi akusaidie.
 
Mkuu Tamatheo Anachotakikana afuate ushauri wangu utamsaidia sio kuweka kitabu cha Biblia chini ya mto hakitoweza kufukuza ndoto za kukabwa.

Jamaa yangu Imani inajenga Saikolojia ya binadamu....wazo unalompa ni la kutumia nguvu za fikra za binadamu na wazo nililompa ni la kutumia ulimwengu wa roho...Hizi ni nguvu 2 zinazokinzana ila ukitaka kuwa ktk ulimwengu wa roho lazima uwe na Imani...Sijui kama umenielewa hadi hapa.
 
Wadau kwa wataalamu, ni kwanini watu wengi huoata ndoto mbaya wanapolala kwa mgongo/kichwa kuangalia juu.


 
Aisee hata mimi hua inanitokea sana tufahamishane wadau wenye utaalamu wa mambo hayo
 
Ukilala kwa mgongo, Kuna uwezekano mkubwa wa ulimi wako kurudi nyuma na kublock njia ya hewa. Hii inakifanya upumue kwa shida. Ubongo wako iko kama processor ya computer na inaendeshwa kwa oxygen kama nishati. Hewa ikipungua kwenye ubongo unaanza kupata maruweruwe. Pozi zuri la kulala Ni kwa Tumbo na shingo ikae upande Ili njia ya hewa iwe wazi. Ukilala chali ukaota ndoto nzuri ujue unakaribia kufa (sitanii hehehe google 'euphoria')
 
kwakweli hata mimi inanisumbua sana hata jana tu imenitokea kama jinamizi ndio wanaita, nikilala chali tu ninaota ndoto za kutisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…