KENNEDY TARIMO
New Member
- Apr 21, 2014
- 4
- 1
Du kweri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Du kweri
Wadau kwa wataalamu, ni kwanini watu wengi huoata ndoto mbaya wanapolala kwa mgongo/kichwa kuangalia juu.
Hapo mwisho umeharibu! Ukiota ndoto nzuri ujue unakaribia kufa!? Umetudanganya...lol
mandella yaani utafikiri umeniona, yaani nikilala hivyo huwa napiga kelele kama nakabwa aisee.
Ukilala kwa mgongo, Kuna uwezekano mkubwa wa ulimi wako kurudi nyuma na kublock njia ya hewa. Hii inakifanya upumue kwa shida. Ubongo wako iko kama processor ya computer na inaendeshwa kwa oxygen kama nishati. Hewa ikipungua kwenye ubongo unaanza kupata maruweruwe. Pozi zuri la kulala Ni kwa Tumbo na shingo ikae upande Ili njia ya hewa iwe wazi. Ukilala chali ukaota ndoto nzuri ujue unakaribia kufa (sitanii hehehe google 'euphoria')
Ukilala kwa mgongo, Kuna uwezekano mkubwa wa ulimi wako kurudi nyuma na kublock njia ya hewa. Hii inakifanya upumue kwa shida. Ubongo wako iko kama processor ya computer na inaendeshwa kwa oxygen kama nishati. Hewa ikipungua kwenye ubongo unaanza kupata maruweruwe. Pozi zuri la kulala Ni kwa Tumbo na shingo ikae upande Ili njia ya hewa iwe wazi. Ukilala chali ukaota ndoto nzuri ujue unakaribia kufa (sitanii hehehe google 'euphoria')
Siwezi kulala kulalia tumbo. Lazima nilale kuelekea juu hapo usingizi utakua mtamu....
Kaka yaelekea una bonge la ndambi hahahaaaaa!! Maana hao ndo hawawezi kulalia tumbo na wakilala chali wanakoroma hao aibuuu....!
Mkuu natamani nikuekee picha yangu. Huo mlalo kuelekea chini kutafuta kuziba pumzi nani anakubali.....
Kweli tumepishana!! Mie ndiyo mlalo wangu huo dakika tano nishapitiwa na usingizi mkali vibaya!!
hata me nalalaga ivyo ila nikiangalia ukutani ndo balaa ndoto za ajabu ajabu mara nyoka mara jini oh!
Heee....!! Hii mupya, ukilala umegeukia upande wa ukutani unaota ndoto za ajabu ajabu tena?? Mh! Hebu badilisha chumba pengine rangi ya ukuta inakuzingua. Na ukilala chali je??