Kuna uhusiano wa kuota ndoto mbaya ukilalia mgongo (Chali)?

Best position ya kulala inaitwa 'recovery position'. Hapo itakuokoa na mambo mengi sana aisee. Angalia picha (hii position inatumika kwenye kutoa huduma ya kwanza pia. Ukilala hivi hata kukoroma ni nadra sana)


 

Reasonable Reason .

Nimependa maelezo yako . ! .

THANKS .
 
Labda kuna ukweli ndani yake, maana mimi kulala kwangu ni kulalia tumbo, na sikumbuki mara ya mwisho kuota ndoto mbaya ni lini, kwa kifupi ni muda sana toka niote ndoto mbaya! Pia cha kushangaza mimi siku hizi sioti kabisa, je ni tatizo au! Kwa mwenye maelezo kuhusu hili, Tafadhari.
 

Wewe ni kama mimi, siwezi lala chali na kupata usingizi.
 
Sidhani kama kuna ukweli wowote ndani yake!,Labda kama unalala chini ni Lazima tu utaota ndoto mbaya!
 
Kuna tatizo ninapolala kwa kuelekeza macho juu, huwa naandamwa na mauza uza na kuota ndoto za ajabu. Hili laweza kuwa tatizo?
 
Jinamizi (hali ya kukabwa ukiwa umelala usiku) husababishwa na nini? kuna uhusiano wowote na afya ya mwili?
 

TWASHUKURU KWA MAELEZO YAKO KWA TUSIOFAHAM TUMEFAHAM SASA zile imani zakuwa nimelogwa sasa basi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…