King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,855
- 24,925
Best position ya kulala inaitwa 'recovery position'. Hapo itakuokoa na mambo mengi sana aisee. Angalia picha (hii position inatumika kwenye kutoa huduma ya kwanza pia. Ukilala hivi hata kukoroma ni nadra sana)
Dah... Basi mie nimezoea kulalia tumbo mpaka nahisi kero sometimes. Nisipolalia tumbo usingizi hauji, afu hata kama nikilala vipi mwisho wa siku nitajikuta nishageuka na kulalia tumbo. Kuna wakati nilidhani kulalia sana tumbo kuna athari kiafya kumbe sio kweli.. Asante kwa kunifungua