Kuna ukweli wowote kuwa baadhi ya wanawake ukilala nao unapata mikosi?

Kuna ukweli wowote kuwa baadhi ya wanawake ukilala nao unapata mikosi?

Kuna ukweli wowote kuwa kuna baadhi ya wanawake ukilala nao unapata mikosi?

Kumekuepo na story nyingi mtaani hasa kwa vijana na wazee kuwa kulala na kila mwanamke unaweza pata mikosi.

Kuna yeyote alishawai kutana na hichi karibu tushare..!
Sio wanawake tu hata wanaume yaan kuingiza midyudyu smtms inakuletea laana
 
Mtu asieamini katika mikosi, mikosi inaweza mpata!?

Mfano wengi wanaamini katika mikosi ikiwa tu biashara zake zikienda ndivyo sivyo baada ya kukutana na aina fulani ya watu.
Narudi katika swali la mada.

Hivi unaweza kupata laana ukilala na mwanamke fulani?

Binafsi siamini hilo, kwa mantiki ipi?
Sababu tu umelala nae ati mara biashara haiendi, kila unashochika hakieleweki.

ILA ninaweza kuiweka hivi, aidha mwanamke huyo anapenda starehe hivyo ataanza kutumia pesa zako rafu na utashindwa kufanya mambo ya maana,

Au akikukuta akili zako ndogo anaweza kukutoa kwenye reli kwa maneno yake tu hivyo ukaanza kupoteza.
Au kuwa na mahusiano ya hovyo hovyo unaweza pata magonjwa ukashindwa kufanya mambo ya maendeleo.

Kukutana na mwanamke tu Halafu eti mambo yanaharibika automatically hilo haliwezekani.

Ni stori zile zile za punda kuongea kwenye biblia.
 
Amewakata sana bikra zao mbaya zaidi wakishika mimba wanafosiwa kuzitoa kwa lazima, aisee kuna Mama ulikua humwambii kitu kuhusu Emanuel TV na Scoan almanusura aende akaishi Lagos
Watanzania wengi tu na Waafrika huwaambii kitu kuhusu TB Joshua. Jamaa alikuwa kubwa la ibilisi.
Tangu akiwa hai niliwahi kusema yule ni wakala wa Ibilisi. Mimi nilisema kwa mujibu wa maandiko.
Hata huyu shetani wa kawe na yule wa Kimara Temboni pamoja na lile ibilisi kuu lililotoa kafara mwanae juzi ni washenzi wakubwa
 
Ngono si more spiritual than physical lakini kwa wapenzi wa kwel, Ukinunua malaya anafanya biashara ya kuuza mbusuu but no love so spiritual gate yake inakuwa imefugwaa, baati mbaya ya mme inakuawa open
 
Watanzania wengi tu na Waafrika huwaambii kitu kuhusu TB Joshua. Jamaa alikuwa kubwa la ibilisi.
Tangu akiwa hai niliwahi kusema yule ni wakala wa Ibilisi. Mimi nilisema kwa mujibu wa maandiko.
Hata huyu shetani wa kawe na yule wa Kimara Temboni pamoja na lile ibilisi kuu lililotoa kafara mwanae juzi ni washenzi wakubwa
Kuna watu humwambii kitu yaan piga ya galagaza wengine kukatwa na hao wanaona ndio sehemu ya upako kwa hio wanakula kondoo wateke makinda kabisa,
 
Niligongana na mdada 24hrs ninae nimemficha,saa kumi mchana nikaweka Mkeka makamalia wanaojua...Aaasee nilipiga Millions 3 na laki sitaa na takatakaa!

Duh! Nilimpa laki akalee anachotaka huko aendakoo,Koo Ipo hiyoo...wengine utashaangaa ukitoka kumlaa tu simu za kukopwa pesa zinafululiza tu tena ambao Soo wakurudisha baba mkwe mfanooo.
C ungeishi nae jumla...[emoji850][emoji1781][emoji23][emoji23]
 
Ngoja nijibu mada hii kama msomi na mtu mwenye fikra za maana na sio upuuzi na ushirikina...ngono au kufanya mapenzi ni kitu Cha kawaida tu...kila binadamu anafanya, wanyama wanafanya etc.. ni natural na kina purpose zake zingine ni recreative zingine ni procreative ila ndo hivyo... tatizo ni kwamba tamaduni nyingi kupitia mgongo wa dini zimetaka kutawala maisha ya watu katika kila sekta especially mambo ya chumbani ndo maana unakuta kila dini inakupangia umwagie shimo gani na wakati gani...haya mambo ya mkosi cjui Nini hayapo na hayatokuja kuwepo ni vitu tu vya kufikirika na vinatumika na matapeli wa kishirikina na kidini kutishia watu au kufanya unyanyasaji wa kingono matokeo yake ndo hayo wanakondoo wanaliwa wakiambiwa watafanikiwa au mganga anamla mteja wake. Kuna watu wanakula Malaya na maisha yanaenda freshi..kama vitu vyako haviendi ni wewe k ya demu au mboo ya mtu haina uhusiano wowote na maisha yako kufanikiwa au la...vitu ambavyo vipo ni magonjwa na maradhi ambavyo vina prevention na cure zake...so acheni kutishana kama enzi za mudi na Musa
 
Sana. Ndugu Mimi nimefanya utafiti wa kutosha kuhusu hawa watumishi wetu ila sina haja ya kuuweka popote maana hakuna atakayebadilika.
Imagine BBC wamefanya uchunguzi nzuri lakini Waafrika mateka wanawajia juu BBC na kuwaita mashoga
Ebwana ni hatari sana, na wewe ukiwaweka hadharani hawa mabwana wa hapa Bongo na wewe utaitwa mchicha mwiba?
 
Back
Top Bottom