Kuna ulimwengu usioonekana?

Kuna ulimwengu usioonekana?

Nimesoma comments nimegundua watu bado sana yani mnaleta mambo ya imani kweny reality nimecheka sana😂
 
Mchezo huu ni wa Kikoba...

Unaweza taka kujiunga...ila yawezekana ulishaungwa tayari [emoji23]

Mchezo huu unavikoba vingi...

Kikoba hiki kimekuwa na watu wengi sana na kinafahakika kuongoza kila mara.

Watu wengi wa kiume na kike wapo kwenye kikoba hiki...

Si kwakuwa kinapesa nyingi ndio maana, Wala ila watu wanakipenda tuu..[emoji23]

Siku moja ktk kikoba hiki bana kama mjuavyo wanawake bana mmoja wao aliwashamoto...

Ikimbukwe kikoba hiki na wanaume wapo ila sio sana kwa kile kinachosemekana vikoba ni vya wanawake tyuu [emoji23]

Huwezi amini moto huu haukuzima uliendelea kua mkali na aliyewasha moto kabla ya kuwasha alimpa chakula mtu mwingine ale, yule aliyepewa chakula akapata vita kubwa ila alipona vita...

Kikoba hichi ambacho kinashika nafasi mara kwa mara kulikuja kutokea kikoba kingine ghafla Yani ghafla...

Kikoba hicho hata kilipotokea hakikujulikana bali kilizuka tu na baadae kikakiondoa kwa kukifukuza kile kikoba kingine...

Walisikika wacheza vikoba wakidai deni kwa malalamiko makali [emoji23][emoji23]
Na hata kikoba mrithi naye ataporwa kikoba kitarudi kwa wenyewe baada ya Ile hesabu kusudiwa kutimia
 
Ulimwengu wa Roho ni mpana...

Na kila mtu ana kiwango chake cha kuona kulingana na Mungu alivyomjalia...

Wengine ni waota ndoto, wengine wanamaono...

Huko kuna watu kama wewe, kuna wachawi, wanyama, mizimu, wapo

Nikianza na vita, kila mtu anavita vyake ambavyo anapigana navyo uwe unaona huoni ila unavyo...

Kuna neno linasema kupigana kwetu sio kwa damu na nyama bali ni kwa Roho...

Huko kwenye Ulimwengu wa Roho, kuna vita ya wewe na wakuu wa giza, hapa na wewe unaona majeshi ni kama watu wakati mwingine uweza ona wanyama ila unapigana nao kama una nguvu za Rohoni unawapiga na unashinda kama huna nguvu unashindwa...

Kuna kushinda na ukishinda kule na huku Ulimwengu wa mwili umeshinda...

Kuna mambo yajayo...

Hapa kama kuna jambo linataka kutokea Liwe zuri au baya kwako, familia, jirani, nchi unaona...

Kwasasa mimi ninaona mpaka yatayotekea nchini...

Kusema nogopa...
Duu! Aiseee !! Na sisi je, tufanye nn kuona hayo
 
Hayo matukio ukiyajua kama ni mabaya yanaumiza...

Ukikaa kimya yakitokea yanaumiza zaidi
Achana na hayo mabaya....kama umeona mazuri yalete hapa tuyajadili mfano umeona fursa gan huku mbele katika secta yoyote inakua kwa haraka. vijana tuanze kujiwekeza ili badae wajukuu wasituite babu zao wachawi
 
Ulimwengu mwingine upo tu ,sema wengi ndio hawajui au hawaamini.

Nakumbuka spirit wa kwanza kupatana naye alikuwa mjomba nliyempenda Sana alipokuwa hai ,nlikuwa nalia kaburini kwake ghafla naona shape yake kando ya jeneza dogo akipiga moshi polepole. Nlikimbia Sana kwa kutense ,all in all mzimu ule umenisaidia Sana mpaka kufikia kunipa elimu ya kuwaita viumbe.

Kila mtu na Siri yake Ila ukiwaheshimu hao jamaa wanakupa codes nyingi tu bila masharti yyte.
Sema waafrika wengi wakiona roho Kama hazirai au kujikojolea mbio kwa maombi msikitini au kanisani.
 
Ulimwrngu huu wa kiroho unatusidiaje vijana kubeti ili tufanijiwe kwa njia ya kubashiri
Haya mambo huwezi ambiwa mtandaoni kaka ,Ila Kuna roho ukiita tu hata bila mkataba ,ukijua kuwabind carefully na majina takatifu ya mungu ,wanakupa kwa njozi hizo vitu .
Sema vijana wengi ni waoga Sana siku hizi
 
Back
Top Bottom