Kuna umuhimu body spray na perfume zisambazwe bure kama kondomu maana kwenye madaladala humu tutakufa

Kuna umuhimu body spray na perfume zisambazwe bure kama kondomu maana kwenye madaladala humu tutakufa

Hizo spray na perfume kama mtu hajaoga ndo zinazidisha harufu balaa. Ushauri utolewe waoge wapake deodorant wakimbilie mihangaikoni
 
Saa 12 asubuhi, mtu kashuka kitandani, hajafikiria maji wala sabuni, lakini tayari yuko kwenye daladala. Jamani, unajua ananuka kama amegaragara na mwanamke halafu akaamua kwenda moja kwa moja kazini? Hakuna hata sekunde ya kufikiria kuwa wenzako pia wanapumua?

Najua wanaume hatupaswi kufuatiliana, lakini kuna mipaka! Maisha yamekuwa magumu? Sawa. Lakini kuna kile kiwango cha chini kabisa cha kujiheshimu—bare minimum! Usiseme hauna hela, kuna hata vile viperfume vya buku unajipaka, lakini hapana, wewe umeridhika na harufu yako ya kufa mtu.

Bora yangeishia hapa, lakini hapana, kuna wale ambao wamevaa boxer ya wiki nzima bila kufua! Aisee, ukikaa kwenye siti, halafu mtu akashika bomba pembeni yako, unaweza kupatwa na kiwewe kwa mshangao wa kugundua tofauti pekee kati binadamu na beberu ni manyoya! Na hata hilo beberu linaweza kuwa safi zaidi.

Acha uvivu wa kujitunza. Tuache kutesana. Usituletee hewa chafu asubuhi na mapema!
Umeandika kwa uchungu Sana mkuu hahahahah
 
Saa 12 asubuhi, mtu kashuka kitandani, hajafikiria maji wala sabuni, lakini tayari yuko kwenye daladala. Jamani, unajua ananuka kama amegaragara na mwanamke halafu akaamua kwenda moja kwa moja kazini? Hakuna hata sekunde ya kufikiria kuwa wenzako pia wanapumua?

Najua wanaume hatupaswi kufuatiliana, lakini kuna mipaka! Maisha yamekuwa magumu? Sawa. Lakini kuna kile kiwango cha chini kabisa cha kujiheshimu—bare minimum! Usiseme hauna hela, kuna hata vile viperfume vya buku unajipaka, lakini hapana, wewe umeridhika na harufu yako ya kufa mtu.

Bora yangeishia hapa, lakini hapana, kuna wale ambao wamevaa boxer ya wiki nzima bila kufua! Aisee, ukikaa kwenye siti, halafu mtu akashika bomba pembeni yako, unaweza kupatwa na kiwewe kwa mshangao wa kugundua tofauti pekee kati binadamu na beberu ni manyoya! Na hata hilo beberu linaweza kuwa safi zaidi.

Acha uvivu wa kujitunza. Tuache kutesana. Usituletee hewa chafu asubuhi na mapema!
Hili somo la usafi wa mwili lifundishwe toka chekechea kwa njia ngumu ikiwemo viboko na kuwaanika wale watakaoonekana wanakiuka viwango vya usafi mbele ya wanafunzi wenzao. Ukijenga hiyo nidhamu kule chini huku juu huwezi kupata tatizo kubwa.
 
Saa 12 asubuhi, mtu kashuka kitandani, hajafikiria maji wala sabuni, lakini tayari yuko kwenye daladala. Jamani, unajua ananuka kama amegaragara na mwanamke halafu akaamua kwenda moja kwa moja kazini? Hakuna hata sekunde ya kufikiria kuwa wenzako pia wanapumua?

Najua wanaume hatupaswi kufuatiliana, lakini kuna mipaka! Maisha yamekuwa magumu? Sawa. Lakini kuna kile kiwango cha chini kabisa cha kujiheshimu—bare minimum! Usiseme hauna hela, kuna hata vile viperfume vya buku unajipaka, lakini hapana, wewe umeridhika na harufu yako ya kufa mtu.

Bora yangeishia hapa, lakini hapana, kuna wale ambao wamevaa boxer ya wiki nzima bila kufua! Aisee, ukikaa kwenye siti, halafu mtu akashika bomba pembeni yako, unaweza kupatwa na kiwewe kwa mshangao wa kugundua tofauti pekee kati binadamu na beberu ni manyoya! Na hata hilo beberu linaweza kuwa safi zaidi.

Acha uvivu wa kujitunza. Tuache kutesana. Usituletee hewa chafu asubuhi na mapema!
Hapo bado harufu ya maku
 
Nauza hii gari mkuu...
 

Attachments

  • tapatalk_1562647940254.jpeg
    tapatalk_1562647940254.jpeg
    39.5 KB · Views: 1
Kuna jamaa nilikutana sehemu kwapa linatema harufu ya mchanganyiko wa tyubu ya baiskeli na vitunguu swaumu halafu kakazana kuniongolesha huku anaweka mikono yake kwangu.Bila mazoezi ya pumzi nilikuwa narudisha chenji.Naunga mkono hoja.
Oiii.
 
Tafuta hela mkuu, uachane na hizo kadhia kama unataka ustaarabu,,,,!" Nunua usafiri binafsi, weka air fresh nzuri utakayo ,,,, pia usafiri binafs utakuwa na AC! Huku changanyikeni waachie wanaomudu
 
Saa 12 asubuhi, mtu kashuka kitandani, hajafikiria maji wala sabuni, lakini tayari yuko kwenye daladala. Jamani, unajua ananuka kama amegaragara na mwanamke halafu akaamua kwenda moja kwa moja kazini? Hakuna hata sekunde ya kufikiria kuwa wenzako pia wanapumua?

Najua wanaume hatupaswi kufuatiliana, lakini kuna mipaka! Maisha yamekuwa magumu? Sawa. Lakini kuna kile kiwango cha chini kabisa cha kujiheshimu—bare minimum! Usiseme hauna hela, kuna hata vile viperfume vya buku unajipaka, lakini hapana, wewe umeridhika na harufu yako ya kufa mtu.

Bora yangeishia hapa, lakini hapana, kuna wale ambao wamevaa boxer ya wiki nzima bila kufua! Aisee, ukikaa kwenye siti, halafu mtu akashika bomba pembeni yako, unaweza kupatwa na kiwewe kwa mshangao wa kugundua tofauti pekee kati binadamu na beberu ni manyoya! Na hata hilo beberu linaweza kuwa safi zaidi.

Acha uvivu wa kujitunza. Tuache kutesana. Usituletee hewa chafu asubuhi na
 
Saa 12 asubuhi, mtu kashuka kitandani, hajafikiria maji wala sabuni, lakini tayari yuko kwenye daladala. Jamani, unajua ananuka kama amegaragara na mwanamke halafu akaamua kwenda moja kwa moja kazini? Hakuna hata sekunde ya kufikiria kuwa wenzako pia wanapumua?

Najua wanaume hatupaswi kufuatiliana, lakini kuna mipaka! Maisha yamekuwa magumu? Sawa. Lakini kuna kile kiwango cha chini kabisa cha kujiheshimu—bare minimum! Usiseme hauna hela, kuna hata vile viperfume vya buku unajipaka, lakini hapana, wewe umeridhika na harufu yako ya kufa mtu.

Bora yangeishia hapa, lakini hapana, kuna wale ambao wamevaa boxer ya wiki nzima bila kufua! Aisee, ukikaa kwenye siti, halafu mtu akashika bomba pembeni yako, unaweza kupatwa na kiwewe kwa mshangao wa kugundua tofauti pekee kati binadamu na beberu ni manyoya! Na hata hilo beberu linaweza kuwa safi zaidi.

Acha uvivu wa kujitunza. Tuache kutesana. Usituletee hewa chafu asubuhi na mapema!
Kwani ukigaragara na mwanamke ndio unanuka,watake radhi wanawake tafadhali...
 
Back
Top Bottom