Nimelazimika kupandisha huu uzi hewani baada ya kurudisha kumbukumbu namna mzee wetu hayati JPM alivyotutoka bila hata ya kutupatia angalau dakika 5 za kumuombea
Tukiweka ushabiki wa kivyama pembeni hayati JPM alikuwa akipendeka sana ndani na nje ya nchi kiasi cha kama wananchi wangehisi hujuma kwenye kifo chake huenda yangezuka machafuko
Kulingana na hayati kuwa na maradhi ya muda mrefu ambayo yalionekana kuwa na uwezo was kumuondoa Duniani wakati wowote ingekuwa vyema kama wananchi wakajulishwa mapema ili kuondoa uwezekano wa machafuko endapo ikitokea kifo cha ghafla hadharani ama sirini
kwahiyo natoa pendekezo kwa mamlaka husika kuweka utaratibu wa kutangaza hali za kiafya za viongozi wakubwa kama Raid,waziri mkuu,Speaker,CDF,IGP nk ili kuwaweka watu tayari endapo likitokea la kutokea
Hebu fikiria mpaka sasa huko Magu kuna tetesi Mabeyo alikuwa mgonjwa sana na alikuwa akitibiwa kwa zaidi ya miezi mi2 nyumbani kwa mama yake baada ya kugoma kupelekwa nje ya nchi kwa sababu/machale zake binafsi
Tukiweka ushabiki wa kivyama pembeni hayati JPM alikuwa akipendeka sana ndani na nje ya nchi kiasi cha kama wananchi wangehisi hujuma kwenye kifo chake huenda yangezuka machafuko
Kulingana na hayati kuwa na maradhi ya muda mrefu ambayo yalionekana kuwa na uwezo was kumuondoa Duniani wakati wowote ingekuwa vyema kama wananchi wakajulishwa mapema ili kuondoa uwezekano wa machafuko endapo ikitokea kifo cha ghafla hadharani ama sirini
kwahiyo natoa pendekezo kwa mamlaka husika kuweka utaratibu wa kutangaza hali za kiafya za viongozi wakubwa kama Raid,waziri mkuu,Speaker,CDF,IGP nk ili kuwaweka watu tayari endapo likitokea la kutokea
Hebu fikiria mpaka sasa huko Magu kuna tetesi Mabeyo alikuwa mgonjwa sana na alikuwa akitibiwa kwa zaidi ya miezi mi2 nyumbani kwa mama yake baada ya kugoma kupelekwa nje ya nchi kwa sababu/machale zake binafsi