Uchaguzi 2020 Kuna umuhimu wa kupiga kura 2020 wakati tume iko mfukoni kwa Rais?

Uchaguzi 2020 Kuna umuhimu wa kupiga kura 2020 wakati tume iko mfukoni kwa Rais?

Sky Eclat mimi nawashauri sio tu wasipige kura, hata kugombea wasigombee. Wafanye kama Serikali za Mitaa. Mbona itakuwa poa tu!!!
Hamna hati miliki ya nchi hii na utawala utawatoka kwa aibu
 
Leo ni 01/01/2020 hongera kwa kuona mwaka mpya.

Mwaka 2020 ni mwaka wa uchaguzi mkuu. Kwa hali ilivyo kama mihimili yote imeshikiliwa na ule mhimili ulijikita chini zaidi kuna haja gani ya kupiga kura?

Wengi wanadai tume huru ya uchaguzi. Muda tulionao utatosha kuiandaa tume huru na iwe tayari kufanya kazi October 2020? Kama wazo lenyewe la tume huru halijawasilishwa wala kupokelewa?

Yo planté aguacates y sésamo pero espero vender carbón vegetal i
 
Haina maana ya Kwenda Kupiga kura ikiwa vitendo vya ukiukwaji wa haki za msingi wa kibinadamu zinaendelea. Kila Mtu ana haki ya kuchagua ama kuchaguliwa, haina maana ya Kwenda kuchagua ikiwa haki yangu ya kuchaguliwa imeminywa.

Sent using Jamii Forums mobile app

2020 CCM ndio itawapangia vyama vya Upinzani ni Jimbo gani washinde


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo ni 01/01/2020 hongera kwa kuona mwaka mpya.

Mwaka 2020 ni mwaka wa uchaguzi mkuu. Kwa hali ilivyo kama mihimili yote imeshikiliwa na ule mhimili ulijikita chini zaidi kuna haja gani ya kupiga kura?

Wengi wanadai tume huru ya uchaguzi. Muda tulionao utatosha kuiandaa tume huru na iwe tayari kufanya kazi October 2020? Kama wazo lenyewe la tume huru halijawasilishwa wala kupokelewa?
hili si kweli; soma Katiba na Sheria ya Uchaguzi. Tusiendekeze uzembe sana; kama kuna watu hawawajibiki kwa mujibu wa sheria wanatakiwa kulalamikiwa wao. Mwisho mtamuona Rais kama Mfalme.
 
kwa utaahira wako ndiyo unachofikiria ? kwa kosa gani rais mchapakazi kama huyu umfanyie fujo hivi wewe hapo na akili zako unataka rais awe nani hebu tuambie tukujadirir
Naona Mbowe akiwa rais basi mdada atatulia.
 
Karibu tuyajenge.Sharti:Uwe na kadi ya CCM isiyopungua "umri" wa miaka 10.Heri ya mwaka mpya 2020
😂😂😂😂 hilo sharti limenishinda mheshimiwa mtarajiwa. Kheri ya Mwaka Mpya
 
Siku hizi wanashinda bila kupingwa new strategy
sasa kama hamuwafundishi kanuni wagombea wenu mnategemea ccm wasishinde bila kupingwa ? wao wanawapa semina kwanza wagombea nyinyi ila siku ni fujo tu halafu mnaingia uchaguzini kichwakichwa lazima muweke mpira kwapani tu
 
hili si kweli; soma Katiba na Sheria ya Uchaguzi. Tusiendekeze uzembe sana; kama kuna watu hawawajibiki kwa mujibu wa sheria wanatakiwa kulalamikiwa wao. Mwisho mtamuona Rais kama Mfalme.
1578027542570.jpeg

Wakati haya ya stokes tulikuwa na katiba gani?
 
sasa kama hamuwafundishi kanuni wagombea wenu mnategemea ccm wasishinde bila kupingwa ? wao wanawapa semina kwanza wagombea nyinyi ila siku ni fujo tu halafu mnaingia uchaguzini kichwakichwa lazima muweke mpira kwapani tu
Kuwa wagombea wa upinzani hawajui kusoma na kuandika oneni aibu kwa uonevu mnaofanya
 
Kuwa wagombea wa upinzani hawajui kusoma na kuandika oneni aibu kwa uonevu mnaofanya
sasa kama wanajaza fomu wanakosea kosa ni la nani kusoma wanajua lakini kuna jinsi ya kujaza fomu lazima uelekezwe acheni ulimbukeni mtakuwa watu wa kulalamika tu kama majuha
 
sasa kama wanajaza fomu wanakosea kosa ni la nani kusoma wanajua lakini kuna jinsi ya kujaza fomu lazima uelekezwe acheni ulimbukeni mtakuwa watu wa kulalamika tu kama majuha
Ni awamu hii ya tano ndiyo wagimbea wa upinzani wameanza kukosea kujaza fomu?
 
Leo ni 01/01/2020 hongera kwa kuona mwaka mpya.

Mwaka 2020 ni mwaka wa uchaguzi mkuu. Kwa hali ilivyo kama mihimili yote imeshikiliwa na ule mhimili ulijikita chini zaidi kuna haja gani ya kupiga kura?

Wengi wanadai tume huru ya uchaguzi. Muda tulionao utatosha kuiandaa tume huru na iwe tayari kufanya kazi October 2020? Kama wazo lenyewe la tume huru halijawasilishwa wala kupokelewa?
Kwani ushindi alioporwa lowasa tume ilikuwa haikuwa mfukoni,pale jamii itakaamua fanya mabadiliko tume si kikwazo
 
Tutapiga acha kutushawishi wewe tume huru? Huko CHADEMA kuna uhuru? Pole Sumaye.
 
Rafiki leo usiku wa saa nane nimeota kuwa mwaka 2020 kuna watu wanachomolewa JF kama vile panya wanachomolewa kwenye mashimo!
 
Leo ni 01/01/2020 hongera kwa kuona mwaka mpya.

Mwaka 2020 ni mwaka wa uchaguzi mkuu. Kwa hali ilivyo kama mihimili yote imeshikiliwa na ule mhimili ulijikita chini zaidi kuna haja gani ya kupiga kura?

Wengi wanadai tume huru ya uchaguzi. Muda tulionao utatosha kuiandaa tume huru na iwe tayari kufanya kazi October 2020? Kama wazo lenyewe la tume huru halijawasilishwa wala kupokelewa?

Tume ilikuwa hivyo tangu Tanzania Bara ipate uhuru, Enzi za Mwl ilikuwa hivo, za Ruksa ilikuwa hivo, wakati wa Rais Mkapa na Kikwete ilikuwa hivyo!! Sasa kelele za nini? Awamu ya tano inaendeleza yale mazuri yaliyokuwepo. Period.
 
Back
Top Bottom