Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Hakuna Baba anaweza kufanya huo ujinga, kina mama ndio wanaoharibu hawa Watoto wa sasa hivi, Toto linadekezwa mpaka umri limebarehe unalidekeza tu linakuwa jinga kabisa.Kuna mmoja aliletwa na mama yake kuripoti shule form five tulimcheka mpaka Basi.
Na kweli yule jamaa alikuwa jaujau tu.Hakuna Baba anaweza kufanya huo ujinga, kina mama ndio wanaoharibu hawa Watoto wa sasa hivi, Toto linadekezwa mpaka umri limebarehe unalidekeza tu linakuwa jinga kabisa.
Unajua kuna watu nawaheshimu wananambia nikuache, Ila bado unaendeleaKwa iko kibamia chako kilicholendemuka kibaya km cha pig [emoji1787][emoji1787]
Hao wenye nafasi za kutengenezea watoto future ndio wanakimbilia wapeleka huko......yani huko mbele mtoto hajapita JKT hawezi pata nafasi nyeti.Umasikini tu kijana wa kidato Cha sita kwenda huko ni umasikini tu Kama Mzazi upo vizuri mwandalie mtoto future Mapema..
Ni kweli kila mtu ana maoni yake alkini linapotokea wazo kama hili, tunashirikishana kama tunavyofanya hapa na ninaamini kwamba wapo watakaojifunza kitu kwa kupitia haya-haya tunayojibizana.Nayaongea haya nkiwa na cheti cha jkt mujibu 2014, basi kila mtu ana maoni yake, kwangu mimi sioni asvantage kwa kweli, nilipotezewa tu muda bora ningewasaidia wazazi wangu kuvuna.
Afu uzalendo ni tabia tu wala haufundishwi, Hawa wanaoiba na kufuja fedha za umma wote walipita jkt tena mwaka mzima.
Mhh! Haya tena mmeanza.Coca siku moja umkaze huyu ili akuheshimu
Hayana maana waache watoto wapumzikeMafunzo ya kijeshi unaita kutesa watoto, ingekua mteremko isingekua mafunzo.
Unajua kuna watu nawaheshimu wananambia nikuache, Ila bado unaendelea
Sema kweli kwa baadhi ya watoto laini lainiUkakamavu una faida kwa mtoto wa kiume
Aaah wapi, hujui connection weweHao wenye nafasi za kutengenezea watoto future ndio wanakimbilia wapeleka huko......yani huko mbele mtoto hajapita JKT hawezi pata nafasi nyeti.
hakuna mtoto wa Mwanasiasa au mtu yoyote wa ngazi ya juu serikalini mtoto wake haendi JKT.
Shukran sana... Niko Dodoma.Upo mkoa gani? Nenda nae utakuta watu waambie hiki ulichokisema kikubwa jina lake liwepo kwenye mkeka
Aaaaargh mkuu peleka makutu au. Mpwapwa.. vizuri kabisaaaaaShukran sana... Niko Dodoma.
OK mkuu; sasa wanapumzika wakifanya nini?Hayana maana waache watoto wapumzike
Wapumbavu wakina nani sasaAchana na hao wapumbavu, jeshi kwa Tz halina maana. Hakuna uzalendo unafundishwa kwa miezi 3
Ushauri wangu nenda tu..faida utakuja ukiona baadaye kwa sasa walaHabari zenu Wana JF,
Naomba msaada kufahamu madhara ya kuacha kuripoti wito wa kujiunga na JKT kwa wale waliomaliza A level.
Je, cheti cha kumaliza mafunzo ya JKT huwa kinahitajika kwa ambaye anataka kufanya maombi vyuo vikuu vya Serikali kama UDSM, Tanzania Institute of Accountancy na IFM, kwa mfano?
Lakini la ziada: kama mhusika hatafanya maombi ya mkopo kupitia HESLB ataathirika namna gani?
Asanteni kwa msaada.
Nanukuu: Maana hakunaga jipya kule zaidi ya kukimbizana na na kukosa usingizi mzuri. Mwisho wa nukuuUamuzi ni wako
Kama una ndoto za kuajiri kwenye majeshi basi nenda
Kama mambo ya jeshi jeshi hutaki achana Nako.
Maana hakunaga jipya kule zaidi ya kukimbizana na na kukosa usingizi mzuri[emoji1]
825kj mtabila I was there
Kwani uzalendo unafundishwa kwa miezi mingapi mkuu?Achana na hao wapumbavu, jeshi kwa Tz halina maana. Hakuna uzalendo unafundishwa kwa miezi 3