Kuna Upigaji mkubwa sana kwenye Miradi ya Ujenzi hasa Barabara

Kuna Upigaji mkubwa sana kwenye Miradi ya Ujenzi hasa Barabara

Kituko kingine kipo majengo ya tunayoita mji mkuu mpya wa Serikali Dodoma. Naskia huko majengo yanajengwa kwa ubora wa chini kwa kiwango cha kutisha.


Aisee?!
Ukiliona jengo kwa nje unaona ni jengo lakini yakija matumizi halisi unakuta lina matatizo chungu nzima,
Mengine unakuta vyoo viko mbaliii.
Wakati kuna standards zinajulikana kuwa choo kisikae mbali kwa binadamu wa kawaida anapokuwa anahitaji kwenda haja kiafya.
Hata majengo ya miradi ya PSSF yana changamoto vyoo viko mbali unajiuliza walochora machoro ma Archtech wana weledi gani ??
Kwanini waliweka vyoo mwendo wa mbali hivi ??!
 
Aisee?!
Ukiliona jengo kwa nje unaona ni jengo lakini yakija matumizi halisi unakuta lina matatizo chungu nzima,
Mengine unakuta vyoo viko mbaliii.
Wakati kuna standards zinajulikana kuwa choo kisikae mbali kwa binadamu wa kawaida anapokuwa anahitaji kwenda haja kiafya.
Hata majengo ya miradi ya PSSF yana changamoto vyoo viko mbali unajiuliza walochora machoro ma Archtech wana weledi gani ??
Kwanini waliweka vyoo mwendo wa mbali hivi ??!
Nilienda siku Jengo la Hamlashauri ya Dodoma lililojengwa pale Mtumba. Aisee lile jengo lina nyufa kwa nyuma hadi linasikitisha. Na ukitazama limejengwa haijazidi hata miaka 5.
 
Back
Top Bottom