đŸ‘‰Biashara inayomilikiwa na muajiriwa Ina possibility kubwa ya kusurvive kuliko ya aliyejiajiri pekee sababu zifuatazo
đŸ‘‰ Mikopo kwa waajiriwa ni rahisi kuicover Bila kuathiri asset zao ambazo hazihamishiki
đŸ‘‰ Biashara za walioajiriwa unaweza Pata wa kukushika mkono na kukuwekea safety wenye D2 mmenielewa (siwezi eleza sana)
đŸ‘‰ Infact, nimekuwa nikijiuliza kwanini mtu yuko radhi afunge biashara yake milion 6 and above akimbilie kwenye ajira ya serikali now Nina majibu
(security and assurance is all about)
Biashara za waliojiajiri peke ake hazina uhakika sana, sales ni rise and fall!
Sema, tuendelee kupambana tu tulioamua kujiajiri tunaishi kwa kutegemeana! đŸ’ª
đŸ‘‰ Mikopo kwa waajiriwa ni rahisi kuicover Bila kuathiri asset zao ambazo hazihamishiki
đŸ‘‰ Biashara za walioajiriwa unaweza Pata wa kukushika mkono na kukuwekea safety wenye D2 mmenielewa (siwezi eleza sana)
đŸ‘‰ Infact, nimekuwa nikijiuliza kwanini mtu yuko radhi afunge biashara yake milion 6 and above akimbilie kwenye ajira ya serikali now Nina majibu
(security and assurance is all about)
Biashara za waliojiajiri peke ake hazina uhakika sana, sales ni rise and fall!
Sema, tuendelee kupambana tu tulioamua kujiajiri tunaishi kwa kutegemeana! đŸ’ª