Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akae mwenyewe mkuu biashara bila kukamwenyewe hiyo ni potea.Sasa unataka amuweke nani labda nNdio anaweza kufanikiwa kwenye biashara yake?
Mkuu iko hivi biashara ina utaalamu wake na si kila mtu ana huo utaalamu wa biashara.👉Biashara inayomilikiwa na muajiriwa Ina possibility kubwa ya kusurvive kuliko ya aliyejiajiri pekee sababu zifuatazo
👉 Mikopo kwa waajiriwa ni rahisi kuicover Bila kuathiri asset zao ambazo hazihamishiki
👉 Biashara za walioajiriwa unaweza Pata wa kukushika mkono na kukuwekea safety wenye D2 mmenielewa (siwezi eleza sana)
👉 Infact, nimekuwa nikijiuliza kwanini mtu yuko radhi afunge biashara yake milion 6 and above akimbilie kwenye ajira ya serikali now Nina majibu
(security and assurance is all about)
Biashara za waliojiajiri peke ake hazina uhakika sana, sales ni rise and fall!
Sema, tuendelee kupambana tu tulioamua kujiajiri tunaishi kwa kutegemeana! 💪
Ndio matumaini inajipa?👉Biashara inayomilikiwa na muajiriwa Ina possibility kubwa ya kusurvive kuliko ya aliyejiajiri pekee sababu zifuatazo
👉 Mikopo kwa waajiriwa ni rahisi kuicover Bila kuathiri asset zao ambazo hazihamishiki
👉 Biashara za walioajiriwa unaweza Pata wa kukushika mkono na kukuwekea safety wenye D2 mmenielewa (siwezi eleza sana)
👉 Infact, nimekuwa nikijiuliza kwanini mtu yuko radhi afunge biashara yake milion 6 and above akimbilie kwenye ajira ya serikali now Nina majibu
(security and assurance is all about)
Biashara za waliojiajiri peke ake hazina uhakika sana, sales ni rise and fall!
Sema, tuendelee kupambana tu tulioamua kujiajiri tunaishi kwa kutegemeana! 💪