Kuna utofauti sana kati ya biashara inayomilikiwa na muajiriwa na biashara ya mtu aliyejiajiri pekee

Breaking News - Tanzania yaimport watu 333,000,000 kutoka China kuja nchini kutufundisha uendeshaji wa Biashara katita wimbi la Kupoteza muda na kumtumikia Kafiri
 
Breaking News - Tanzania yaimport watu 333,000,000 kutoka China kuja nchini kutufundisha uendeshaji wa Biashara katita wimbi la Kupoteza muda na kumtumikia Kafiri

Waliopo wanatafuta Biashara ya kutulia na kuendelea na maisha katikati ya Vita vya Hauji kutulia kichwa..

Toa Mbinu za Kusimamisha nchi - Mie Breaking news: Tanzania yaimport wachina 333,000,000 kwa ajili ya kusimamia mitaji na uendeshaji wa biashara Tanzania
 
Mkuu iko hivi biashara ina utaalamu wake na si kila mtu ana huo utaalamu wa biashara.
Sasa hapo ulichoongelea wewe ni ile kitendo cha muajiriwa kuwa na biashara halafu kwa vile hana utaalamu wa biashara anafanya kama fasheni so kwa vyovyote lazima kuna hasara atakuwa anazipata halafu ikishatokea hiyo hasara anaenda kuchukua mshahara wake au mkopo anaenda kuongezea kwenye biashara yake ili kufidia gepu sasa hapo atakuwa anafanya biashara au anacheza?
Lengo la biashara ni kupata profit ambayo ndio inakusaidia kuendesha maisha yako kwa ujumla.
 
Ndio matumaini inajipa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ