Kuna uwezekano mkubwa miradi ya SGR na Stieglers' Gorge isikamilike


Kumbe akiingia Rais mwingine madarakan kuna uwezekano akaifutilia mbali miradi iliyoanzishwa na mtangulizi wake hata kama iko katika hatua za kukamilika?
 
Typing errors kibao unatumia simu ya tochi?

Pili acha ubishi kwenye issue za kitaalamu zinazohitaji akili kama hizi!!

Upo mtupu kichwani.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aliyetangaza kuitekeleza ana undugu na mzee yusufu!
Mipasho na kebehi juuu!!!
 
Hiyo "force majeure" inatupa haki ya kumuondoa magufuli ikulu.
Nyie wapambe nuksi!!!
 
Kumbe akiingia Rais mwingine madarakan kuna uwezekano akaifutilia mbali miradi iliyoanzishwa na mtangulizi wake hata kama iko katika hatua za kukamilika?
Vipi unajua chochote kuhusu Bandari ya Bagamoyo?. Nani alianzisha?, alipoingia mwingine do you know what happened?.
Vipi unajua chochote kuhusu Katiba mpya?. Do you know how much we spent?. Do you know aliyefuata, amefanya nini?.
P
 
Hii miradi ya SGR na Stiglers Gorge hata bila corona ni miradi unaitwa WHITE ELEPHANTS. Unaweza ukaimaliza lakini isikupe Desired Return on Investment.

Kwa mfano SGR hata ikimalizika kwenda huko Rusumo sijui ambako tuna target mzigo wa Rwanda, bado haina faida kwa vile throughout ya Rwanda ni less than 800k metric tons.

Mzigo wa ndani ni very insignificant kwa vile Magufuli hana vision. Anajenga reli huku anaua sekta binafsi. Umefirisi akina Yusuf Manji, umewatisha kina Mo Dewji kwa kuwateka, umesababisha vifo vya akina Mufuruki na Shamte kwa chuki zako, Je unategemea local traders gani wasafirishe mzigo kwenye SGR?

Hiyo Stiglers Gorge ni upotevu wa Matrilioni ya hela tu kwa kuwa mabadiliko ya tabia nchi ndiyo adui mkubwa wa hydro electricity. Kamwe hawezi kupata hizo megawatt 2100 kama anavyotamba kwenye maradhi na matv.

Ataishia kuharibu baioanuai ya selous tu na kuteremsha hadhi ya pori tengefu
 
Hiyo "force majeure" inatupa haki ya kumuondoa magufuli ikulu.
Nyie wapambe nuksi!!!
Mkuu Jogi, I doubt!. Kunapotokea mazingira ya force majeure, kila mmoja anaubeba mzigo wake mwenyewe!.
P
 
"Piga ua lazima ikamilike..."

Ni kweli itakamilika tu.
 
Mkuu Jogi, I doubt!. Kunapotokea mazingira ya force majeure, kila mmoja anaubeba mzigo wake mwenyewe!.
P
Kiwepo kipengele, kama hakipo imekula kwetu.
Atakayebanwa na "force majeure" ataungana na Donald Trump kumshtaki mchina.

Watanzania wengi mno hawaifurahii miradi hii ambayo magufuli "anatusogoma" (nimekosa tafsiri rasmi la neno hilo la kigogo)
 
Vipi unajua chochote kuhusu Bandari ya Bagamoyo?. Nani alianzisha?, alipoingia mwingine do you know what happened?.
Vipi unajua chochote kuhusu Katiba mpya?. Do you know how much we spent?. Do you know aliyefuata, amefanya nini?.
P
Sio sheria kwamba kila anayeingia hapo ikulu ni lazima atelekeze miradi ya mtangulizi wake, huenda akaja mwingine akaendeleza, hivyo tusiishi kwa kukariri.
 
Sio sheria kwamba kila anayeingia hapo ikulu ni lazima atelekeze miradi ya mtangulizi wake, huenda akaja mwingine akaendeleza, hivyo tusiishi kwa kukariri.
Historia inaonyesha kila mtu hua anakuja na vipaumbele vyake.
 
Vipi unajua chochote kuhusu Bandari ya Bagamoyo?. Nani alianzisha?, alipoingia mwingine do you know what happened?.
Vipi unajua chochote kuhusu Katiba mpya?. Do you know how much we spent?. Do you know aliyefuata, amefanya nini?.
P

Naona ile mada yangu ya katiba mpya imeibuka huku kinamna.
 
hiyo miradi ilikufa kabla ya kuanza. huwezi kufanikiwa kutekeleza miradi mikubwa kama ile huku unajitia maskini jeuri unawaita wazungu mabeberu. siku zote chunga ulimi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…