Kuna uwezekano mkubwa wa Rais Samia kuonana ana kwa ana na wakuu wa Serikali ya Marekani akiwamo Rais Joe Biden kwenye ziara yake hii.
Ifahamike mambo ya ugaidi wa kubambikiziana tumeshaachana nayo na tumeonyesha nia njema ya kuzungumza na wapinzani katika hatua mbalimbali. Ikumbukwe pia kuna vita vya Russia na Ukraine ambako tumekuwa hatueleweki eleweki.
Tutakuwa tuna maelekezo yetu huko. Muda wetu wa kupiga kura kwa kuwajibika (responsibly) utakuwa umefika.
Bila shaka tukavuna pia na pesa za kutosha japo kupoza poza makali ya maisha na mfumuko wa bei. "Punde na Warusi wa Buza tutakuwa tunaongea lugha moja." Ya msingi zaidi kwetu ni kufunguliwa zaidi kwa milango ya demokrasia.
"Hii ikiwamo haki zetu, kuanza kwa mchakato wa katiba mpya na hatima ya waathirika wote wa figisu za kisiasa nchini." Tumtakie mama safari njema ya mafanikio tele.
========================
Rais Samia kukutana na Makamu Rais wa Marekani
Makamu wa Rais wa Marekani, Kamala Harris anatarajiwa kukutana na Rais Samia Suluhu ambaye yupo katika ziara Nchini humo siku yoyote hivi karibuni.
Ofisi ya Rais wa Marekani, Joe Biden imetoa taarifa hiyo ambapo wanatarajiwa kukutana Ikulu ya White House ambapo watajadiliana kuhusu uchirikiano wa kiuchumi na biashara na masuala mengine ya kidunia.
Source: EconoTimes
Ifahamike mambo ya ugaidi wa kubambikiziana tumeshaachana nayo na tumeonyesha nia njema ya kuzungumza na wapinzani katika hatua mbalimbali. Ikumbukwe pia kuna vita vya Russia na Ukraine ambako tumekuwa hatueleweki eleweki.
Tutakuwa tuna maelekezo yetu huko. Muda wetu wa kupiga kura kwa kuwajibika (responsibly) utakuwa umefika.
Bila shaka tukavuna pia na pesa za kutosha japo kupoza poza makali ya maisha na mfumuko wa bei. "Punde na Warusi wa Buza tutakuwa tunaongea lugha moja." Ya msingi zaidi kwetu ni kufunguliwa zaidi kwa milango ya demokrasia.
"Hii ikiwamo haki zetu, kuanza kwa mchakato wa katiba mpya na hatima ya waathirika wote wa figisu za kisiasa nchini." Tumtakie mama safari njema ya mafanikio tele.
========================
Rais Samia kukutana na Makamu Rais wa Marekani
Makamu wa Rais wa Marekani, Kamala Harris anatarajiwa kukutana na Rais Samia Suluhu ambaye yupo katika ziara Nchini humo siku yoyote hivi karibuni.
Ofisi ya Rais wa Marekani, Joe Biden imetoa taarifa hiyo ambapo wanatarajiwa kukutana Ikulu ya White House ambapo watajadiliana kuhusu uchirikiano wa kiuchumi na biashara na masuala mengine ya kidunia.
Source: EconoTimes