Kuna uwezekano mkubwa Rais Samia kuonana na wakuu wa Serikali ya Marekani akiwamo Rais Joe Biden

Kuna uwezekano mkubwa Rais Samia kuonana na wakuu wa Serikali ya Marekani akiwamo Rais Joe Biden

Kama jamii haiwezekani wakubalike rasmi Kama wanavyopigania. Wanapigania kutambuliwa! Yaani dume liolewe na dume kwa ndoa hiyo kusajiliwa Serikalini!! Hicho ndicho tunakataa. Tunajua wapo lakini hawana kibali, ni waovu kupindukia, Mungu awarehemu waachane na uchafu huo!

Umewasikia wapi wakipigania kutambuliwa "rasmi" ili iweje? Kwani wewe ni mmoja wao?

Hii habari ya kuwa "kama wao wako vizuri wewe inakuhusu nini nayo hujawahi kuisikia?"

Kumbuka si kila mtu angependa kwenda unakokuita "mbinguni kwenu."

IMG_20220414_143949_137.jpg


Wewe wajuaje kama wao labda wana mbinguni zao?

Swali la msingi, kwa nini matumizi ya watu na viungo vyao iwe tatizo kwako?
 
Huu uzi ni wa Pro USA kuwa neutral ni jambo la busara kuliko vyote. Tuendelee kubaki na msimamo wetu shida mmezoea vya kupewa pewa vyenye masharti lini tutajitegemea ??

Tutaendelea kuwa waoga na kuomba misaada mpaka lini?
Mimi sitaki politics nachotaka ni kusikia Tanzania imerekeshwa kwenye MCC kwa hiyo Rais akomae na hili jambo.

Kuna pesa mingi Sana pale,Tulikuwa tunapata dola za Marekani mil.700
 
Back
Top Bottom