Kuna uwezekano mkubwa Rais Samia kuonana na wakuu wa Serikali ya Marekani akiwamo Rais Joe Biden

Kuna uwezekano mkubwa Rais Samia kuonana na wakuu wa Serikali ya Marekani akiwamo Rais Joe Biden

Anakutana na Vice President Kamala Harris Ijumaa na siyo President of USA Biden, yeye siyo wa kwanza hata raisi wa Gambia alikuwa hapo pia!

Kiswahili kigumu mjomba?

IMG_20220414_113859_534.jpg
 
Akitoka huko aende Russia then Ukrain ili kuonyesha kuwa tuko neutral kikwelikweli

Imran Khan alitoka Russia akikoroma kuwa yeye huwa hapangiwi ..
 
Huu uzi ni wa Pro USA kuwa neutral ni jambo la busara kuliko vyote. Tuendelee kubaki na msimamo wetu shida mmezoea vya kupewa pewa vyenye masharti lini tutajitegemea ??

Tutaendelea kuwa waoga na kuomba misaada mpaka lini?

Una taabu na uzi au na facts on the ground?

Uzi unaibeba hali halisi tutake au tusitake.

Kwamba Ukraine kavamiwa hilo ni kweli. Kwamba kuna wanawake, watoto na wasio na hatia wanakufa, hilo nalo ni kweli.

Kwamba kuna mvamizi aliyeleta haya, nayo ni kweli.

Msimamo upi usiokuwa na maana au uwajibikaji ambao ungependa Mama yetu mpendwa akaumbuke nao ugenini?
 
Huu uzi ni wa Pro USA kuwa neutral ni jambo la busara kuliko vyote. Tuendelee kubaki na msimamo wetu shida mmezoea vya kupewa pewa vyenye masharti lini tutajitegemea ??

Tutaendelea kuwa waoga na kuomba misaada mpaka lini?
... sasa mbona unawalaumu pro-US wa JF kana kwamba ndio wako ziarani Marekani?
 
Anakutana na Vice President Kamala Harris Ijumaa na siyo President of USA Biden, yeye siyo wa kwanza hata raisi wa Gambia alikuwa hapo pia!
Hivi inawezekana raisi wa Marekani akaja Bongo halafu Samia akawa bize na miradi mingine akamwachia Majaliwa kuonana nae?
 
Ungekuwa wewe Rais ungefanyaje kwa mfano. Tueleze ungefanyaje. Hapa sio issue ya kuomba omba wala nini wala kijitegea ni diplomasia ambayo nadhani wengi hatujui tuwaachie viongozi wetu wakatende wanaipenda nchi yetu.

Akikujibu usiache kutuletea mrejesho mkuu
 
Magufuli anaingiaje kwenye hii thread? Huna hoja

Mkuu hukuzisikia agenda mkutano wa TCD? Yaliyopita ni ndwele nayo ilikuwamo humo:

"Hii ikiwamo haki zetu, kuanza kwa mchakato wa katiba mpya na hatima ya waathirika wote wa figisu za kisiasa nchini."


Huyo mwamba bado yupo yupo sana.
 
Hivi inawezekana raisi wa Marekani akaja Bongo halafu Samia akawa bize na miradi mingine akamwachia Majaliwa kuonana nae?

Raisi mbona mbali sana? Balozi tu Mzungu anapandiwa ndege kufatwa kutoka Dodoma mpaka Dar badala ya Balozi kwenda Dodoma, Kikwete alibadilisha hata Anwani ya Ikulu yetu kuiita Barack Obama, hawajithamini kabisa hawa watu!
 
Mawazo duni kabisa.

Kwamba uhuru wa mashoga, kwani inakuhusu nini wewe kama si shoga?

Utawazuia wewe na viganja vyako watu wazima waliojichagulia yao?

Kwani pilipili usizozila zikuwashe je wewe, nini ndugu?

Kama jamii haiwezekani wakubalike rasmi Kama wanavyopigania. Wanapigania kutambuliwa! Yaani dume liolewe na dume kwa ndoa hiyo kusajiliwa Serikalini!! Hicho ndicho tunakataa. Tunajua wapo lakini hawana kibali, ni waovu kupindukia, Mungu awarehemu waachane na uchafu huo!
 
Back
Top Bottom