Kama jamii haiwezekani wakubalike rasmi Kama wanavyopigania. Wanapigania kutambuliwa! Yaani dume liolewe na dume kwa ndoa hiyo kusajiliwa Serikalini!! Hicho ndicho tunakataa. Tunajua wapo lakini hawana kibali, ni waovu kupindukia, Mungu awarehemu waachane na uchafu huo!