Tetesi: Kuna uwezekano mkubwa wa LOCKDOWN nchi nzima. Kama hujajiandaa fanya sasa

Status
Not open for further replies.
Ila hii Corona ilivyoisha Tanzania.....Mungu ndio anajua!

Mungu alitubariki sana watanzania kwa kutupatia rais mwenye imani na maono ya ajabu. Believe me dunia imejifunza mengi sana toka Tanzania haswa Kwa John Pombe Magufuli. Na kwa mafanikio tuliyopata baada ya CORONA kama nchi tumeweza kufubaza imani iliyokua inalazimishwa dunia kuamini kwamba nchi zilock down hadi 2021
Japo hawataki kuadmit ukweli unabaki kuwa John Pombe Magufuli ni rais bora wa Karne, Tanzania ni baba lao na CCM ni chama laoπŸ’₯πŸ˜πŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ˜ πŸ”₯πŸ’£πŸ”₯πŸ”₯
 

Attachments

  • Screenshot_20200929-140107.jpg
    25.6 KB · Views: 1
Corona si kali wala hatari kama ilivyopaishwa.

Asilimia 99 ya wanaoipata wanapona.
 
Anatishia kuroga as if uchawi umewahi kumuacha mtu salama. Ubaya wa haya maandishi hayafutiki. Yanaendelea kuwepo tu hata kama mtu ameota mvi kichwa chote, anasubiri kumuona muumba wake
Kweli kabisa
 
Bila maendeleo ya vitu Korona ingetubamiza vibaya
 
Hatuna C-19 Tanzania,lockdown inatoka wapi.Angalia ushuhuda huu!



Sasa tuwe locked kwa kitu hewa,itakuwa vituko na tutakuwa wajinga sana kukubali.The C-19 virus has never been isolated and does not adhere to Kock's Postulates kwa hiyo si ugonjwa.For anything to be called a disease it must adhere to Kock's postulates.Mwenye scientific proof kwamba the virus has been isolated and adheres to Kock's Postulates alete hapa,or else anyamaze.Jamani na sisi ni scientists,hawa mabeberu wasituingize mkenge kirahisi hivyo..
 
Alichofanya jpm ni kuwatoa hofu wananchi kwa kusingizia Mungu kaondoa korona baada ya maombi.
Wananchi wameamini na sasa wanaishi na korona bila hofu, psychology ukiishinda unashinda kila kitu. Ishu ya Mungu kuondoa corona imekua kama PLACEBO kwa watanzania..
 
Anatishia kuroga as if uchawi umewahi kumuacha mtu salama. Ubaya wa haya maandishi hayafutiki. Yanaendelea kuwepo tu hata kama mtu ameota mvi kichwa chote, anasubiri kumuona muumba wake
πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Rais John Pombe Magufuli wa jamhuri ya muungano wa Tanzania ndiye rais pekee duniani aliyeweza kutumia Saikolojia kuwatoa wananchi hofu ya CORONA na hadi sasa watanzania wanaishi kwa amani

Si ndio ulitaka iwe hivyo?😁😁

Maana hamtaki Mungu atajwe kabisa kwa issue ya CORONA na Magufuli ila ndio hivyo amewashinda wadhungu
 
Labda itokeee uenezaji wa virus kwa makusudi ili ionekane mkuu alikosea,lkn other wise Mungu yu pamoja nasi
 
Mshana haya yote uliyobainisha viongozi waliyajua na yalikuwepo awali,ndio maana hatukuwa na lockdown,what has changed?Kama tutakuwa na lockdown akina Bill Gates watakuwa wamefanikiwa kupenyeza uovu wao,si kwamba kuna tatizo.Naililia Tanzania kama kweli kutakuwa na lockdown kwa kuwa hii ina maana kwamba hata vaccine tutakubali.Nasema ni fungakazi kwa kuwa vaccine ile inaandaliwa ili kubadili hata DNA ya wanadamu.Nataka watu wajue kwamba the DNA is what identifies you with God.Sasa ikishabadilishwa,who do you resemble, Satan?Surely. Wanaochekelea lockdown na masharti mengine ya akina Bill Gates naomba wasikilize clip ifuatatayo.It will be the worst case scenario humanity has never faced.


 
πŸ’―%.
 
Mshana,wewe unashangilia lockdown kwa kuwa agenda ya C-19 ni ya Lucifer,the end game ikiwa kumleta the Anti-Christ,hii sio siri tena kwa kuwa Bill Gates tayari ameshapata patent yenye namba 060606 ya vaccine. Nani asiyejua Mshana who you belong to.Ila naomba these psychopaths na wewe mjue kwamba there is a hell which together you will have to face,and that will be very daunting time indeed.

Fuata link ifuatayo uone ukweli huo.


 

Wanasayansi wa tanzania ni hewa kabisa. Mlikuwa wapi muda wote huo mmekuja kujitokeza saivi mnaleta arguments zenu za isolation sijui blahblah gani
Wakati corona imepamba moto mlijificha mbali mkiomba wazungu watoe dawa mapema leo hii mnajifanya wajuaji eti ooh isolation sijui nn
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…