Ila hii Corona ilivyoisha Tanzania.....Mungu ndio anajua!
Corona si kali wala hatari kama ilivyopaishwa.Mungu alitubariki sana watanzania kwa kutupatia rais mwenye imani na maono ya ajabu. Believe me dunia nimejifunza mengi sana toka Tanzania haswa Kwa John Pombe Magufuli. Na kwa mafanikio tuliyopata baada ya CORONA kama nchi tumeweza kufubaza imani iliyokua inalazimishwa dunia kuamini kwamba nchi zilock down hadi 2021
Japo hawataki kuadmit ukweli unabaki kuwa John Pombe Magufuli ni rais bora wa Karne, Tanzania ni baba lao na CCM ni chama laoπ₯ππΉπΏπ π₯π£π₯π₯
TuliwashtukiaCorona si kali wala hatari kama ilivyopaishwa.
Asilimia 99 ya wanaoipata wanapona.
Kweli kabisaAnatishia kuroga as if uchawi umewahi kumuacha mtu salama. Ubaya wa haya maandishi hayafutiki. Yanaendelea kuwepo tu hata kama mtu ameota mvi kichwa chote, anasubiri kumuona muumba wake
Mtabiri uchwara kaukimbia uzi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mtabiri uchwara kaukimbia uzi
Hatuna C-19 Tanzania,lockdown inatoka wapi.Angalia ushuhuda huu!Kwa hali inavyoendelea quarantine nchi nzima inakuja.. Inawezekana viongozi wamekubali ushauri na kijifunza toka kwa walioathirika kabla
Ni wazi muingiliano wa watu ndio kichokoo kikubwa cha kueneza virus wa corona.. Kusafiri, na kuhama sehemu moja kwenda nyingine.. Mizunguko ya siku nzima tunakutana na watu anuwai.
Toka kila sehemu.. Jioni tunarudi majumbani kwetu je tunakuwa tumesalimika kiasi gani?
Kukipambazuka tunaelekea makazini kwetu inawezekana kabisa wewe uko salama na umezingatia taratibu zote za kinga lakini je vipi jirani yako? Jana alipita wapi? Alikutana na nani? Je yuko salama? Je kazingatia tahadhari zote za kinga?
Muda unakimbia kwa kasi sana... Jiandae sasa, weka akiba ya chakula ndani, maji na kila chenye umuhimu... Tunaweza tusimalize wiki kabla hatujatangaziwa habari mbaya ya TOTAL LOCK DOWN... Hujachelewa anza sasa
Jr[emoji769]
Alichofanya jpm ni kuwatoa hofu wananchi kwa kusingizia Mungu kaondoa korona baada ya maombi.Mungu alitubariki sana watanzania kwa kutupatia rais mwenye imani na maono ya ajabu. Believe me dunia nimejifunza mengi sana toka Tanzania haswa Kwa John Pombe Magufuli. Na kwa mafanikio tuliyopata baada ya CORONA kama nchi tumeweza kufubaza imani iliyokua inalazimishwa dunia kuamini kwamba nchi zilock down hadi 2021
Japo hawataki kuadmit ukweli unabaki kuwa John Pombe Magufuli ni rais bora wa Karne, Tanzania ni baba lao na CCM ni chama laoπ₯ππΉπΏπ π₯π£π₯π₯
π π π π πAnatishia kuroga as if uchawi umewahi kumuacha mtu salama. Ubaya wa haya maandishi hayafutiki. Yanaendelea kuwepo tu hata kama mtu ameota mvi kichwa chote, anasubiri kumuona muumba wake
Rais John Pombe Magufuli wa jamhuri ya muungano wa Tanzania ndiye rais pekee duniani aliyeweza kutumia Saikolojia kuwatoa wananchi hofu ya CORONA na hadi sasa watanzania wanaishi kwa amaniAlichofanya jpm ni kuwatoa hofu wananchi kwa kusingizia Mungu kaondoa korona baada ya maombi.
Wananchi wameamini na sasa wanaishi na korona bila hofu, psychology ukiishinda unashinda kila kitu. Ishu ya Mungu kuondoa corona imekua kama PLACEBO kwa watanzania..
Mshana haya yote uliyobainisha viongozi waliyajua na yalikuwepo awali,ndio maana hatukuwa na lockdown,what has changed?Kama tutakuwa na lockdown akina Bill Gates watakuwa wamefanikiwa kupenyeza uovu wao,si kwamba kuna tatizo.Naililia Tanzania kama kweli kutakuwa na lockdown kwa kuwa hii ina maana kwamba hata vaccine tutakubali.Nasema ni fungakazi kwa kuwa vaccine ile inaandaliwa ili kubadili hata DNA ya wanadamu.Nataka watu wajue kwamba the DNA is what identifies you with God.Sasa ikishabadilishwa,who do you resemble, Satan?Surely. Wanaochekelea lockdown na masharti mengine ya akina Bill Gates naomba wasikilize clip ifuatatayo.It will be the worst case scenario humanity has never faced.Kwa hali inavyoendelea quarantine nchi nzima inakuja.. Inawezekana viongozi wamekubali ushauri na kijifunza toka kwa walioathirika kabla
Ni wazi muingiliano wa watu ndio kichokoo kikubwa cha kueneza virus wa corona.. Kusafiri, na kuhama sehemu moja kwenda nyingine.. Mizunguko ya siku nzima tunakutana na watu anuwai.
Toka kila sehemu.. Jioni tunarudi majumbani kwetu je tunakuwa tumesalimika kiasi gani?
Kukipambazuka tunaelekea makazini kwetu inawezekana kabisa wewe uko salama na umezingatia taratibu zote za kinga lakini je vipi jirani yako? Jana alipita wapi? Alikutana na nani? Je yuko salama? Je kazingatia tahadhari zote za kinga?
Muda unakimbia kwa kasi sana... Jiandae sasa, weka akiba ya chakula ndani, maji na kila chenye umuhimu... Tunaweza tusimalize wiki kabla hatujatangaziwa habari mbaya ya TOTAL LOCK DOWN... Hujachelewa anza sasa
Jr[emoji769]
π―%.Alichofanya jpm ni kuwatoa hofu wananchi kwa kusingizia Mungu kaondoa korona baada ya maombi.
Wananchi wameamini na sasa wanaishi na korona bila hofu, psychology ukiishinda unashinda kila kitu. Ishu ya Mungu kuondoa corona imekua kama PLACEBO kwa watanzania..
Mshana,wewe unashangilia lockdown kwa kuwa agenda ya C-19 ni ya Lucifer,the end game ikiwa kumleta the Anti-Christ,hii sio siri tena kwa kuwa Bill Gates tayari ameshapata patent yenye namba 060606 ya vaccine. Nani asiyejua Mshana who you belong to.Ila naomba these psychopaths na wewe mjue kwamba there is a hell which together you will have to face,and that will be very daunting time indeed.Kwa hali inavyoendelea quarantine nchi nzima inakuja.. Inawezekana viongozi wamekubali ushauri na kijifunza toka kwa walioathirika kabla
Ni wazi muingiliano wa watu ndio kichokoo kikubwa cha kueneza virus wa corona.. Kusafiri, na kuhama sehemu moja kwenda nyingine.. Mizunguko ya siku nzima tunakutana na watu anuwai.
Toka kila sehemu.. Jioni tunarudi majumbani kwetu je tunakuwa tumesalimika kiasi gani?
Kukipambazuka tunaelekea makazini kwetu inawezekana kabisa wewe uko salama na umezingatia taratibu zote za kinga lakini je vipi jirani yako? Jana alipita wapi? Alikutana na nani? Je yuko salama? Je kazingatia tahadhari zote za kinga?
Muda unakimbia kwa kasi sana... Jiandae sasa, weka akiba ya chakula ndani, maji na kila chenye umuhimu... Tunaweza tusimalize wiki kabla hatujatangaziwa habari mbaya ya TOTAL LOCK DOWN... Hujachelewa anza sasa
Jr[emoji769]
Hatuna C-19 Tanzania,lockdown inatoka wapi.Halafu tuwe locked na kitu hewa,itakuwa vituko.The C-19 virus has never been isolated and does not adhere to Kock's Postulates kwa hiyo si ugonjwa.For anything to be called a disease it must be adhere to Kock's postulates.Mwenye scientific proof kwamba the virus has been isolated and adheres to Kock's Postulates alete hapa,or else anyamaze.Jamani na sisi ni scientists,hawa mabeberu wasituingize mkenge kirahisi hivyo..