Tetesi: Kuna uwezekano mkubwa wa LOCKDOWN nchi nzima. Kama hujajiandaa fanya sasa

Tetesi: Kuna uwezekano mkubwa wa LOCKDOWN nchi nzima. Kama hujajiandaa fanya sasa

Status
Not open for further replies.
Ila kuwaambia wengine waweke data kuwa hakuna covid 19 Tz ni kazi yao?! Lengo la mada yako ilikuwa kututahadharisha na ujio wa lockdown,kinyuma na maelezo ya wizara ya afya Tz, yaani wewe ulikuwa unajua hali ambayo inatukabili kinyume na wizara inavyodai. Ila muda umetueleza wizara walikuwa sahihi na wewe ulikuwa hujui usemacho. Waliofufua mada hii wanakuomba tu ukubali wakati unaandika hii mada ulifikiri unajua kumbe hujui na hujui kama hujui. Hamna ubaya kwenye hilo kwani wengi wetu tunachemkaga mambo mbalimbali kwenye maisha na jamii kwa jumla.
Nilikuwa sahihi kuweka TAHADHARI...sikukosea na SIKUCHEMKA...mamlaka zilisitisha updates za huu ugonjwa na hili likaleta shida sana lakini SIASA zikazidi maarifa na ujuzi kwakuwa kwa Tanzania siasa ndio kila kitu
Baada ya hapo tukashurutishwa na wenzetu kufanya vipimo kwanza kama tunataka kwenda kwao...kwenye hivyo vipimo waathirika wa covid wapo ...lakini hili halisemwi na sababu ziko wazi

Nimetakiwa kuthibitisha ..nimethibitisha kwa kutaja chanzo lakini mnaosema hakuna covid hamna ithibati yoyote zaidi ya maneno ya wanasiasa

Nakubali kuomba radhi ninapokosea na nimefanya hivyo mara nyingi tu...sikubali kuomba radhi kwa kitu ambacho sijakosea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sina imani na mashabiki wa chadema.

hawa watu hata kama jambo lina ukweli,namna anavyolishape utagundua lengo sio kukueleza ujue ukweli.bali kukupandikiza chuki flani ambayo kimsingi haina ulazima.

kuna watu wana chuki ya wazi kwa magufulu sababu hatuzijui,aina hiyo ya watu inatakiwa uwasikilize kwa utulivu sana utajua nia waliyo nayo juu yako kwa mtu wanayemchukia.

wenzetu wanasahau kwamba mbali na itikadi zetu za kisiasa bado tunatakiwa kusimama kama taifa wakati wa vita yoyote,ila bahati mbaya wao lengo lao ni biashara zao,na madeal yao yaliyosinyaa.
 
sina imani na mashabiki wa chadema.

hawa watu hata kama jambo lina ukweli,namna anavyolishape utagundua lengo sio kukueleza ujue ukweli.bali kukupandikiza chuki flani ambayo kimsingi haina ulazima.

kuna watu wana chuki ya wazi kwa magufulu sababu hatuzijui,aina hiyo ya watu inatakiwa uwasikilize kwa utulivu sana utajua nia waliyo nayo juu yako kwa mtu wanayemchukia.

wenzetu wanasahau kwamba mbali na itikadi zetu za kisiasa bado tunatakiwa kusimama kama taifa wakati wa vita yoyote,ila bahati mbaya wao lengo lao ni biashara zao,na madeal yao yaliyosinyaa.
Wao kila jambo huwa wanapinga tu
Ni pingapinga tu.

Ona wanavyoumbuka Sasa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ila kuwaambia wengine waweke data kuwa hakuna covid 19 Tz ni kazi yao?! Lengo la mada yako ilikuwa kututahadharisha na ujio wa lockdown,kinyuma na maelezo ya wizara ya afya Tz, yaani wewe ulikuwa unajua hali ambayo inatukabili kinyume na wizara inavyodai. Ila muda umetueleza wizara walikuwa sahihi na wewe ulikuwa hujui usemacho. Waliofufua mada hii wanakuomba tu ukubali wakati unaandika hii mada ulifikiri unajua kumbe hujui na hujui kama hujui. Hamna ubaya kwenye hilo kwani wengi wetu tunachemkaga mambo mbalimbali kwenye maisha na jamii kwa jumla.
Hahaa, mshana ni muungwana, naamini atapitia upya uzi wake na kutupa mrejesho

[emoji3]
 
Ila kuwaambia wengine waweke data kuwa hakuna covid 19 Tz ni kazi yao?! Lengo la mada yako ilikuwa kututahadharisha na ujio wa lockdown,kinyuma na maelezo ya wizara ya afya Tz, yaani wewe ulikuwa unajua hali ambayo inatukabili kinyume na wizara inavyodai. Ila muda umetueleza wizara walikuwa sahihi na wewe ulikuwa hujui usemacho. Waliofufua mada hii wanakuomba tu ukubali wakati unaandika hii mada ulifikiri unajua kumbe hujui na hujui kama hujui. Hamna ubaya kwenye hilo kwani wengi wetu tunachemkaga mambo mbalimbali kwenye maisha na jamii kwa jumla.
Haaaaa Haaaaa 😂 mtu anaboil halafu anaruka futi 100,
 
Yaani hataki kukubali tu kama amekosea[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani corona ingekuwepo basi wa kwanza kufa tungekuwa sisi wanafunzi wa chuo maana walitutanguliza sisi kwa majaribio
Cha ajabu ni kwamba tangu tumeenda mwezi June hadi tunarudi September Wala hatujawahi vaa barakoa na tulikuwa maelfu ya watu..sijawahi ona watu wanakufa kwa Corona.

Siasa nyingine uchwara sana,na yule kiongozi wao alikuwa anashadadia Sana Corona iendelee kutetema lakini Mungu si Lisu Wala Mshana [emoji23][emoji1787]
Mawazo ya Mungu ni tofuati na ya mwanadamu [emoji2772]
Yan nachukia sana pale mtu anapojidai anajua kila kitu wakati hajui chochote zaidi ya kukopi kupest. Pamoja na kutafuta attention kwa Pipozzzz
 
Yan nachukia sana pale mtu anapojidai anajua kila kitu wakati hajui chochote zaidi ya kukopi kupest. Pamoja na kutafuta attention kwa Pipozzzz
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Jamaa huwa namkubali kwenye baadhi ya Mambo ila kwenye huu Uzi wallah amechemka sana.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom