Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani Mimi huwa namshangaa Sana.
Halafu Yeye mwenyewe anajiona shujaa hatari![]()
![]()
![]()
![]()
Veri Tru indeed Mya dia hujakosea, mzee kama huyo Hujielewi walahiSasa kwani anajielewa!?![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ukiona mtu anaanza kujiona shujaa sana kuliko wengine na kujiona ana akili kuliko serikali inayomuongoza ujue ana shida [emoji1787]
Haaaaa Haaaaa 😂 😂 😂 jamaniDAH Waberoya amelikeView attachment 1596603
Kwani ukikubali kwamba uliingia choo cha kike utambungukiwa nini wewe fala? Unataka wakaangalie takwimu za nini kwani hizo takwimu zinatoka mbinguni? Sisi mbona hatuoni majirani zetu wakiumwa na kufa na hiyo corona yako?Tuko busy kumdiss mtoa mada lakini hatujawahi kufika pale External Ubungo kwenye maabara ya Taifa kupata taarifa halisi zisizotangazwa kwa sababu maalum za kisiasa
Hakuna hata mmoja wenu nyie wakosoaji wapuuzi wenye takwimu za,mipakani za wabongo wangapi wanazuiwa kuingia nchi za majirani zetu kwasababu ya korona
Sent using Jamii Forums mobile app
Shost naweka simu chaji, ntarudi wangu leo hakuna kuraraSasa kwani anajielewa!?![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ukiona mtu anaanza kujiona shujaa sana kuliko wengine na kujiona ana akili kuliko serikali inayomuongoza ujue ana shida [emoji1787]
Jamani nafwaa leo, ye Uwiiii yeuwiiiiKwani ukikubali kwamba uliingia choo cha kike utambungukiwa nini wewe fala? Unataka wakaangalie takwimu za nini kwani hizo takwimu zinatoka mbinguni? Sisi mbona hatuoni majirani zetu wakiumwa na kufa na hiyo corona yako?
Hivi kwani hiyo Corona ipo wapi hapa TZ jamani??[emoji23][emoji23]Kwani ukikubali kwamba uliingia choo cha kike utambungukiwa nini wewe fala? Unataka wakaangalie takwimu za nini kwani hizo takwimu zinatoka mbinguni? Sisi mbona hatuoni majirani zetu wakiumwa na kufa na hiyo corona yako?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Veri Tru indeed Mya dia hujakosea, mzee kama huyo Hujielewi walahi
Jikite kwenye mada wewe Acha porojo jamviniWewe mchawi wa JF unayejiita Mshana Jr ni mtu wa magumashi.
Jikite kwenye mada wewe Acha porojo jamvini
Nini wewe mkaldayomkuu mpaka umevaa kanzu nyingine[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
hawa watu sijui wamekunywea pombe leo[emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nikikumbuka team Lockdown na magazeti yao mareeefuu kupita maisha yangu sina hamu mie. Ukiwapa makavu hakuna lockdown mapovu yao sasa aaah
Wewe ambaye ulileta utopolo wako hapa ndiyo unapashwa kutuletea hizo takwimu zako za wagonjwa na vifo vya corona ili tukuwashe zaidi na takwimu zako fake! Kila mara unawaza siasa za kipinzani tuuu!! Wakati mwingine uwe Mtanzania halisi nyinyi ndiyo mlikuwa mnashirikiana na Wakenya kututukana sisi watz kuwa tunatumia mbinu za Kinjeketile na Kenya wanatumia Sayansi sasa ndugu zako Wakenya bado wanahangaika sasa wameamua kumrudia Mungu leo wako siku ya pili ya maombi wakati walituambia ni mbinu za Kinjeketile sasa Kjnjeketile ameshinda!!Kwanini unataka kunilazimisha ili kufurahisha genge lisilo na takwimu mitandaoni? Wote mko na simu zenu huko mliko hakuna hata mmoja mwenye data za covid Tanzania
Niletee current data KUWA TANZANIA HAKUNA COVID nitaomba radhi bila kupepesa macho
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamanii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wala msimlaumu mshana sio yeye. Tatizo lake kila kitu anachoona anakopi na kuketa huku akifaya kama ni yeye kaandika, anakopi bila kufikiri. Hiyo post aliitoa kwenye magrupu ya wasap,kama kawaida yake mzee wa Copycat akaleta huku. Sasa yanamtokea puani, mm nitaamini anayoyasema mpaka afe yeye kwanza[emoji57][emoji57][emoji57]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wanapita kimyakimya sasahivi
Halafu kweli nimewaona kule[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wanaelekea uzi wa wanawake weusi kumnyima kura magufuli. Wanatafuta visababu vya
ajabu ajabu kila kukicha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] halafu wote wamejazana upinzani. Nikikumbuka sarakasi zao za kutuchongea kwa mabeberu na pia maombi yao watu wafe wengi ili wao wapate cha kuongea na kulaumu. Hawa watu hawana akili jamani
Komamanga wa watu hebu jibuni hoja acha porojo[emoji1787]Sometimes si lazima kujibu kila kitu unajisumbua tu..