Tetesi: Kuna uwezekano mkubwa wa LOCKDOWN nchi nzima. Kama hujajiandaa fanya sasa

Tetesi: Kuna uwezekano mkubwa wa LOCKDOWN nchi nzima. Kama hujajiandaa fanya sasa

Status
Not open for further replies.
Yaani Mimi huwa namshangaa Sana.
Halafu Yeye mwenyewe anajiona shujaa hatari
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png

Sasa kwani anajielewa!?![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ukiona mtu anaanza kujiona shujaa sana kuliko wengine na kujiona ana akili kuliko serikali inayomuongoza ujue ana shida [emoji1787]
Veri Tru indeed Mya dia hujakosea, mzee kama huyo Hujielewi walahi
 
Tuko busy kumdiss mtoa mada lakini hatujawahi kufika pale External Ubungo kwenye maabara ya Taifa kupata taarifa halisi zisizotangazwa kwa sababu maalum za kisiasa
Hakuna hata mmoja wenu nyie wakosoaji wapuuzi wenye takwimu za,mipakani za wabongo wangapi wanazuiwa kuingia nchi za majirani zetu kwasababu ya korona

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani ukikubali kwamba uliingia choo cha kike utambungukiwa nini wewe fala? Unataka wakaangalie takwimu za nini kwani hizo takwimu zinatoka mbinguni? Sisi mbona hatuoni majirani zetu wakiumwa na kufa na hiyo corona yako?
 
Sasa kwani anajielewa!?![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ukiona mtu anaanza kujiona shujaa sana kuliko wengine na kujiona ana akili kuliko serikali inayomuongoza ujue ana shida [emoji1787]
Shost naweka simu chaji, ntarudi wangu leo hakuna kurara
 
Jaman
Kwani ukikubali kwamba uliingia choo cha kike utambungukiwa nini wewe fala? Unataka wakaangalie takwimu za nini kwani hizo takwimu zinatoka mbinguni? Sisi mbona hatuoni majirani zetu wakiumwa na kufa na hiyo corona yako?
Jamani nafwaa leo, ye Uwiiii yeuwiiii
 
Kwani ukikubali kwamba uliingia choo cha kike utambungukiwa nini wewe fala? Unataka wakaangalie takwimu za nini kwani hizo takwimu zinatoka mbinguni? Sisi mbona hatuoni majirani zetu wakiumwa na kufa na hiyo corona yako?
Hivi kwani hiyo Corona ipo wapi hapa TZ jamani??[emoji23][emoji23]
Mbona wanataka kutufanya wajinga
 
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Nikikumbuka team Lockdown na magazeti yao mareeefuu kupita maisha yangu sina hamu mie. Ukiwapa makavu hakuna lockdown mapovu yao sasa aaah
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nikikumbuka team Lockdown na magazeti yao mareeefuu kupita maisha yangu sina hamu mie. Ukiwapa makavu hakuna lockdown mapovu yao sasa aaah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wanapita kimyakimya sasahivi
 
Kwanini unataka kunilazimisha ili kufurahisha genge lisilo na takwimu mitandaoni? Wote mko na simu zenu huko mliko hakuna hata mmoja mwenye data za covid Tanzania
Niletee current data KUWA TANZANIA HAKUNA COVID nitaomba radhi bila kupepesa macho


Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ambaye ulileta utopolo wako hapa ndiyo unapashwa kutuletea hizo takwimu zako za wagonjwa na vifo vya corona ili tukuwashe zaidi na takwimu zako fake! Kila mara unawaza siasa za kipinzani tuuu!! Wakati mwingine uwe Mtanzania halisi nyinyi ndiyo mlikuwa mnashirikiana na Wakenya kututukana sisi watz kuwa tunatumia mbinu za Kinjeketile na Kenya wanatumia Sayansi sasa ndugu zako Wakenya bado wanahangaika sasa wameamua kumrudia Mungu leo wako siku ya pili ya maombi wakati walituambia ni mbinu za Kinjeketile sasa Kjnjeketile ameshinda!!
 
Wala msimlaumu mshana sio yeye. Tatizo lake kila kitu anachoona anakopi na kuketa huku akifaya kama ni yeye kaandika, anakopi bila kufikiri. Hiyo post aliitoa kwenye magrupu ya wasap,kama kawaida yake mzee wa Copycat akaleta huku. Sasa yanamtokea puani, mm nitaamini anayoyasema mpaka afe yeye kwanza[emoji57][emoji57][emoji57]
Jamanii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
😂😂😂😂wanaelekea uzi wa wanawake weusi kumnyima kura magufuli. Wanatafuta visababu vya
ajabu ajabu kila kukicha 😂😂😂😂 halafu wote wamejazana upinzani. Nikikumbuka sarakasi zao za kutuchongea kwa mabeberu na pia maombi yao watu wafe wengi ili wao wapate cha kuongea na kulaumu. Hawa watu hawana akili jamani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wanapita kimyakimya sasahivi
 
mungu ni zaidi ya shetani na misukule yake, kupitia corona mungu kaidhalilisha misukule ya shetani mpaka basi walitaka tufe ovyo lakini muumba mbingu aliketi nasi
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wanaelekea uzi wa wanawake weusi kumnyima kura magufuli. Wanatafuta visababu vya
ajabu ajabu kila kukicha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] halafu wote wamejazana upinzani. Nikikumbuka sarakasi zao za kutuchongea kwa mabeberu na pia maombi yao watu wafe wengi ili wao wapate cha kuongea na kulaumu. Hawa watu hawana akili jamani
Halafu kweli nimewaona kule[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ngoja ifike hiyo October 28 watapoteana humu,,sasahivi wanajazana tu upepo humu[emoji1787]
Yaani wapinzani bwana,kila wanalolishikia bango linabuma[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Mitano tena kwa JPM[emoji110]
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom