Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
[emoji23][emoji23][emoji23]Atajiju huko aliko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]Atajiju huko aliko
Shida nikuwa humu Jf wapo wapuuzi wanajiona wao ndio bora sanaIla kuwaambia wengine waweke data kuwa hakuna covid 19 Tz ni kazi yao?! Lengo la mada yako ilikuwa kututahadharisha na ujio wa lockdown,kinyuma na maelezo ya wizara ya afya Tz, yaani wewe ulikuwa unajua hali ambayo inatukabili kinyume na wizara inavyodai. Ila muda umetueleza wizara walikuwa sahihi na wewe ulikuwa hujui usemacho. Waliofufua mada hii wanakuomba tu ukubali wakati unaandika hii mada ulifikiri unajua kumbe hujui na hujui kama hujui. Hamna ubaya kwenye hilo kwani wengi wetu tunachemkaga mambo mbalimbali kwenye maisha na jamii kwa jumla.
Sio yanashangaza tu bali yanastaajabisha kabisa madamKuna mambo yanashangaza Sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbona unakuwa mkali kwa mtu usiyemjua, Tumia lugha nzuri tu atakuelewa.Wewe mchawi wa JF unayejiita Mshana Jr ni mtu wa magumashi.
We jamaa una akili Sana[emoji122]Ila kuwaambia wengine waweke data kuwa hakuna covid 19 Tz ni kazi yao?! Lengo la mada yako ilikuwa kututahadharisha na ujio wa lockdown,kinyuma na maelezo ya wizara ya afya Tz, yaani wewe ulikuwa unajua hali ambayo inatukabili kinyume na wizara inavyodai. Ila muda umetueleza wizara walikuwa sahihi na wewe ulikuwa hujui usemacho. Waliofufua mada hii wanakuomba tu ukubali wakati unaandika hii mada ulifikiri unajua kumbe hujui na hujui kama hujui. Hamna ubaya kwenye hilo kwani wengi wetu tunachemkaga mambo mbalimbali kwenye maisha na jamii kwa jumla.
Halafu mwenyewe anajiona sawa tu!Sio yanashangaza tu bali yanastaajabisha kabisa madam
Ukisoma ID yake huwezi kupata shida zaidiMbona unakuwa mkali kwa mtu usiyemjua, Tumia lugha nzuri tu atakuelewa.
Hasa huyu KipangaspecialShida nikuwa humu Jf wapo wapuuzi wanajiona wao ndio bora sana
Kuongopa au Kupinga jambo la Serikali wanajiona Kichwani wapo vizuri kukbe Vilaza tu
Wanajazana upepo humu kwa kujifanya wajuaji Kila kitu wao
Hovyo kabisa
Haaaaa Haaaaa 😂 nimecheka mpaka nimelia mimi, eti kumbe vilaza😂😂😂Shida nikuwa humu Jf wapo wapuuzi wanajiona wao ndio bora sana
Kuongopa au Kupinga jambo la Serikali wanajiona Kichwani wapo vizuri kukbe Vilaza tu
Wanajazana upepo humu kwa kujifanya wajuaji Kila kitu wao
Hovyo kabisa
Ila kuwaambia wengine waweke data kuwa hakuna covid 19 Tz ni kazi yao?! Lengo la mada yako ilikuwa kututahadharisha na ujio wa lockdown,kinyuma na maelezo ya wizara ya afya Tz, yaani wewe ulikuwa unajua hali ambayo inatukabili kinyume na wizara inavyodai. Ila muda umetueleza wizara walikuwa sahihi na wewe ulikuwa hujui usemacho. Waliofufua mada hii wanakuomba tu ukubali wakati unaandika hii mada ulifikiri unajua kumbe hujui na hujui kama hujui. Hamna ubaya kwenye hilo kwani wengi wetu tunachemkaga mambo mbalimbali kwenye maisha na jamii kwa jumla.
Haaaaa Haaaaa 😂 fumbo mfumbie mjinga Dada mwerevu huling'amua. Halooooo😂😂😂😂Hasa huyu Kipangaspecial
Anajionaga ana akili kuzidi serikali yetu tukufu[emoji1787]
Haaaaa Haaaaa 😂 jamani utaniua mbavu zangu mieWewe mchawi wa JF unayejiita Mshana Jr ni mtu wa magumashi.
Msamehe bure mkuu.
Haaaaa Haaaaa 😂 mbavu zangu zimevunjika 😂😂😂😂😂😂, sasa sijui itakuwajePimbi wewe kama gonjwa lingeathiri kwa kiwango mlichotaka kutuaminisha isingekuwa mpka uende hapo ubungo uone takwimu. Wagonjwa wangekuwa ndio hawatunaishi nao tungeona na kuzikana. Sasa mtaani hatuwaoni unataka tukaangalie number? Teehe tehe teeeheeee
Yaani Mimi huwa namshangaa Sana.Haaaaa Haaaaa [emoji23] fumbo mfumbie mjinga Dada mwerevu huling'amua. Halooooo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwanza anakera mbaya zaidi Anapenda kujipaisha, atupishe hukooo, mxiuuuuuYaani Mimi huwa namshangaa Sana.
Halafu Yeye mwenyewe anajiona shujaa hatari[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa kwani anajielewa!?![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwanza anakera mbaya zaidi Anapenda kujipaisha, atupishe hukooo, mxiuuuuu
DAH Waberoya amelikeShida nikuwa humu Jf wapo wapuuzi wanajiona wao ndio bora sana
Kuongopa au Kupinga jambo la Serikali wanajiona Kichwani wapo vizuri kumbe Vilaza tu
Wanajazana upepo humu kwa kujifanya wajuaji Kila kitu wao
Hovyo kabisa
Safari hii umepatikana mkuu!!