Tetesi: Kuna uwezekano mkubwa wa LOCKDOWN nchi nzima. Kama hujajiandaa fanya sasa

Tetesi: Kuna uwezekano mkubwa wa LOCKDOWN nchi nzima. Kama hujajiandaa fanya sasa

Status
Not open for further replies.
Lissu oyee...

Imebidi tu nami niingie..lol

Kuhusu Corona kuwepo Tanzania I believe bado ipo,kama haipo mje na evidence haipo...

Kusema tuu kuwa mnaendelea na kazi zenu haitoshi kuwa proof kuwa haipo....

Bahati mbaya corona yenyewe haiji na alama,

Kwa mfano...

Tungekuwa labda ukiumwa corona linakuota pembe kichwani.....

Mtu akiumwa au kufa tunajua huyu alikufa kwa corona,

I am sure Majority mliocoment mngejijua kama ni wagonjwa au ndugu fulani alikufa kwa corona...(si mngeliona pembe?! lol)

Sio sasa hivi kifua, mtu akikohoa watu wanadhania ni ugonjwa wa kawaida, kumbe inawezekana tu ni corona,...

SIJUI walitumia KIPIMO kipi kuona HAKUNA corona Tanzania.....

Huku mitaani utasikia 'mbona hatufi' tunatembea barabarani hakuna maiti ..hii dhana ya kudhani ukiwa na corona unaanguka tu itatucost siku moja...
SIJUI walitumia KIPIMO kipi kuona HAKUNA corona Tanzania.....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sidhani kama wataweza kukujibu hili...shida tuliyo nayo ni UFAHAMU ..Ingekuwa corona haipo Tanzania tusingekuwa na idara ya vipimo Ubungo External
 
Weka data acha kurukaruka
Sisi ndiyo watu wenyewe ambao tunaishi mtaani.
Data zipo Ubungo External penye kituo kikuu cha vipimo... Na wewe weka ithibati za kuwa Tanzania hakuna corona na ilimalizwa kwa maombi...baada ya hapo ndio tutajua ni nani anarukaruka
 
Mimi hali halisi naipata mtaani kwangu yaani block ya Mbezi Beach ninayoishi hakuna mgonjwa wa corona kila jumamosi tunakutana kwenye vikao vyetu vya mitaa hakuna mgonjwa hata mmoja. Pia kazini kwangu taasisi yetu inawatumishi kama 1,200 Tanzania nzima lakini hakuna mgonjwa hata mmoja tuna vikao mara moja kwa wiki hakuna update hata moja inayosema kuna corona au mfanyakazi amekufa kwa corona katika kipindi chote cha tangu March 2020. Huo ndiyo ushahidi wangu!
Toka mtandaoni: Wapungie mkono!
 
Huyu baba amefanya mazuri mengi mno
Wanaomchukia wanamchukia bure..yawezekana ana mapungufu yake mengi lakini kwa aliyofanya Hakika anastahili kupewa tena miaka mitano.

Ona kupitia maombi tuliyoomba yametufanya wanafunzi tumalize masomo yetu salama salmini wakati nchi nyingine wanaendelea kusota na hizo lockdown zao.
Tumpate wapi mtu Kama huyu??ambaye Mungu anakaa ndani yake??

Alilonifurahisha zaidi ni jinsi alivyonyenyekea mbele za Mungu muumba ili atuondolee janga la Corona,wakati wengine wakimbeza,hadi kufikia kumkufuru Mungu lakini yeye hakujali...Alimuheshimu Mungu na alijua kabisa Wataalamu wa Dunia hii si chochote mbele za Mungu.
Ona sasa,Mungu alitusikia,Kuna watu wa hovyo Sana hii nchi.. sijui ni vichaa wale[emoji848] walibeza sana..tena Cha kushangaza nao ni wa Tz,halafu eti wanainuka kuwaomba watz kura[emoji57]
Huwa nakararishwa sana na watu kumbeza Mungu.

Nampongeza Sana JPM
Duu mama yangu weeee....Jesus Christ on the cross!!! Kwahiyo maombi yamefanya kazi kwenye corona lakini ikashindwa kwenye magonjwa mengine? Basi kama haya maombi hayabagui basi kuna tatizo kubwa mahali...!!!!
Kwa mara ya kwanza tangu dunia kuumbwa kuna mtu kafanya muujiza kupitia maombi mpaka ugonjwa ukatoweka...HILI HATA KRISTO hajawahi fanya!!!!
 
Wana kelele zisizoumiza.
Hizo spana zao watapigwa wenyewe nimeshaandaa kadi yangu ya kupigia kura

Wao watakua busy kujipaka wino kusingizia wameshapiga kura wakati kadi hawana,hawapo vutuon mwao etc

Corona corona corona ilikua wimbo wao. Mara leo wanampongeza kagame,mara wanakebehi maombi nchi nzima huku wakiwa busy kusambaza clip za museven akidhihaki maombi
Nani awaibie kura???
Huku nje watanzania siyo wajinga waanze kuchagua watu waropokaji...wanamchagua mtu makini JPM.

Yaani ukiwa humu JF unaweza kuhisi nchi inapinduliwa Kumbe Wala[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ngoja waendelee kujazana upepo humu..majibu watayapata October 28[emoji1787][emoji110]
 
Mshana Jr Uraiani watu Wanahimiza Siku ya Uchaguzi 28/10 isipelekwe mbele Wakampe kula MAGUFURI

Hivi unadhani hao mashabiki watakaoenda humo Wanamjua Robert Amsterdam Au Pompeo ? [emoji28][emoji23]View attachment 1596747
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]maajabu hayaishi bongo land nchi ya wagagagigikoko...CORONA kwa maombi AIDS kwa tembe
 
Teh
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Nikikumbuka team Lockdown na magazeti yao mareeefuu kupita maisha yangu sina hamu mie. Ukiwapa makavu hakuna lockdown mapovu yao sasa aaah
Teh teh 😂😂😂😂kiukweli sijawah Cheki kama leo, uwiiiiie 😂😂😂
 
Huyu baba amefanya mazuri mengi mno
Wanaomchukia wanamchukia bure..yawezekana ana mapungufu yake mengi lakini kwa aliyofanya Hakika anastahili kupewa tena miaka mitano.

Ona kupitia maombi tuliyoomba yametufanya wanafunzi tumalize masomo yetu salama salmini wakati nchi nyingine wanaendelea kusota na hizo lockdown zao.
Tumpate wapi mtu Kama huyu??ambaye Mungu anakaa ndani yake??

Alilonifurahisha zaidi ni jinsi alivyonyenyekea mbele za Mungu muumba ili atuondolee janga la Corona,wakati wengine wakimbeza,hadi kufikia kumkufuru Mungu lakini yeye hakujali...Alimuheshimu Mungu na alijua kabisa Wataalamu wa Dunia hii si chochote mbele za Mungu.
Ona sasa,Mungu alitusikia,Kuna watu wa hovyo Sana hii nchi.. sijui ni vichaa wale[emoji848] walibeza sana..tena Cha kushangaza nao ni wa Tz,halafu eti wanainuka kuwaomba watz kura[emoji57]
Huwa nakararishwa sana na watu kumbeza Mungu.

Nampongeza Sana JPM
Mazuri yapi? unaweza taja hata mawili ?
 
Wala msimlaumu mshana sio yeye. Tatizo lake kila kitu anachoona anakopi na kuketa huku akifaya kama ni yeye kaandika, anakopi bila kufikiri. Hiyo post aliitoa kwenye magrupu ya wasap,kama kawaida yake mzee wa Copycat akaleta huku. Sasa yanamtokea puani, mm nitaamini anayoyasema mpaka afe yeye kwanza😏😏😏
Umemaliza mzee Baba vingine anakopigi you tube Akija kuandika vilaza wenzie wanaona booonge la mutu, hallloooo
 
Nyie mnaosema ipo mtuambie iko wapi??
Au mna anga la peke yenu hapa tz ambako mnaiona Corona?
Shost leo una hasira za kuua mtu kabisa, umekula nini leo bebi wangu nikuongezee tena, walahi leo umenimaliza mie mtoto wa mutu
 
Mimi nasema hakuna corona hapa TZ bali kuna magonjwa mengine kama kawaida ila hilo gonjwa lenu la kupika limeshindwa! Sasa wewe unayesema gonjwa lenu la corona lipo TZ tuambie liko mtaa gani mimi ninakoishi huku Mbezi Beach halipo wala sijawahi ona jirani zangu wanaumwa ama kufa kwa corona tangu mtangaze!
Achana nae huyo mtafuta Kiki za kijinga
 
Sawa kama upo Mbona hatufanyi Precautions zozote kuhus hilo Gonjwa kama hapo Mwanzo Daladala watu tunasimama, ndoa tunafunga kama kawa, kwanini yani ?? Kwanini hatupo Lockdown kama ulivyosema Kwanini yani ?? NIJIBU
Achana nae bulicheka 😂😂😂
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]maajabu hayaishi bongo land nchi ya wagagagigikoko...CORONA kwa maombi AIDS kwa tembe
Hahahahh
MAOMBI pekee hayakuondoa Corona Ni mikakati ya Serikali ikiwa ni Pamoja kutokukubali kulamba wazungu Makalio (kufuatisha walichokuwa wanakitaka)

Tuwe tuu Makini na Ujuaji wetu
 
Wala msimlaumu mshana sio yeye. Tatizo lake kila kitu anachoona anakopi na kuketa huku akifaya kama ni yeye kaandika, anakopi bila kufikiri. Hiyo post aliitoa kwenye magrupu ya wasap,kama kawaida yake mzee wa Copycat akaleta huku. Sasa yanamtokea puani, mm nitaamini anayoyasema mpaka afe yeye kwanza😏😏😏
Huyu jamaa mimi nilisha mshtukia kitambo sana,ndio maana hua anajikita kwenye issue za kichawi nakishirikina coz hizo issue ni za kiimani tu na hazithibitishiki,sasa hua anajiongopea kujiingiza kwenye issue za siasa ndio maana hua anadondokea pua,kuna watu humu hua wanamuona bonge la great thinker! Huyu jamaa akileta mada humu hua hataki kupingwa kabisa,anasahau kua hizo zama zilishapita,tupo kwenye zama za kuhoji.
 
Hahahahh
MAOMBI pekee hayakuondoa Corona Ni mikakati ya Serikali ikiwa ni Pamoja kutokukubali kulamba wazungu Makalio (kufuatisha walichokuwa wanakitaka)

Tuwe tuu Makini na Ujuaji wetu
Kwahiyo Tanzania hakuna corona
 
Lissu oyee...

Kuhusu Corona kuwepo Tanzania I believe bado ipo,kama haipo mje na evidence haipo...

Kusema tuu kuwa mnaendelea na kazi zenu haitoshi kuwa proof kuwa haipo.

Tungekuwa labda ukiumwa corona linakuota pembe kichwani.....

Mtu akiumwa au kufa tunajua huyu alikufa kwa corona,

I am sure Majority mliocoment mngejijua kama ni wagonjwa au ndugu fulani alikufa kwa corona...(si mngeliona pembe?! lol)

Sio sasa hivi kifua, mtu akikohoa watu wanadhania ni ugonjwa wa kawaida, kumbe inawezekana tu ni corona,...

SIJUI walitumia KIPIMO kipi kuona HAKUNA corona Tanzania.....

Huku mitaani utasikia 'mbona hatufi' tunatembea barabarani hakuna maiti ..hii dhana ya kudhani ukiwa na corona unaanguka tu itatucost
kwa akili yako unadhani ingekuwepo lissu mpenda sifa angekaa kimya kwa namna anapenda kiki za kisiasa? angekubali kuhatarisha afya yake na za wanachama? umetumia mifano ya kitoto sana kuutetea ujinga wa mtoa mada
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom