Tetesi: Kuna uwezekano mkubwa wa LOCKDOWN nchi nzima. Kama hujajiandaa fanya sasa

Tetesi: Kuna uwezekano mkubwa wa LOCKDOWN nchi nzima. Kama hujajiandaa fanya sasa

Status
Not open for further replies.
Kama watatoa kiroba cha mchele na dumu la mafuta ya kula, kiroba cha sukari na unga kila kaya basi lockdown itakuwa inawezekana. Kinyume na hapo ni chenga za mwili tu zitaendelea.

Na hii iwe kila mwezi bila kusahau kutuombea kwa wenye nyumba msamaha wa kodi kwa muda wa miezi 6!
Huu ndio ukweli mchungu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
.
IMG-20200404-WA0158.jpeg


Jr[emoji769]
 
Kwa hali inavyoendelea quarantine nchi nzima inakuja.. Inawezekana viongozi wamekubali ushauri na kijifunza toka kwa walioathirika kabla

Ni wazi muingiliano wa watu ndio kichokoo kikubwa cha kueneza virus wa corona.. Kusafiri, na kuhama sehemu moja kwenda nyingine.. Mizunguko ya siku nzima tunakutana na watu anuwai...
Toka kila sehemu.. Jioni tunarudi majumbani kwetu je tunakuwa tumesalimika kiasi gani?

Kukipambazuka tunaelekea makazini kwetu inawezekana kabisa wewe uko salama na umezingatia taratibu zote za kinga lakini je vipi jirani yako? Jana alipita wapi? Alikutana na nani? Je yuko salama? Je kazingatia tahadhari zote za kinga?

Muda unakimbia kwa kasi sana... Jiandae sasa, weka akiba ya chakula ndani, maji na kila chenye umuhimu... Tunaweza tusimalize wiki kabla hatujatangaziwa habari mbaya ya TOTAL LOCK DOWN... Hujachelewa anza sasa

Jr[emoji769]

Mpaka kesho sielewi Yanga alimfungaje Simba ile tarehe 8 siku ya wanawake Duniani lakini ndio hivyo tena wanasema hata kama ni ushindi Simba anaweza apewe na ligi iwe imeisha tusubirie mwakani tena, hapa Mshana sina uchawi wowote wa kikwetu au wa kitaalamu lakini hisia zangu tu ni kwamba mwisho wa mchezo mtakuwa mmefungwa 1- 0 na wengi hawataamini na wengine wataanza kuamini maneno ya mitume wa Kawe na Ubungo kwani neno litakuwa limetimia
 
.
Mpaka kesho sielewi Yanga alimfungaje Simba ile tarehe 8 siku ya wanawake Duniani lakini ndio hivyo tena wanasema hata kama ni ushindi Simba anaweza apewe na ligi iwe imeisha tusubirie mwakani tena, hapa Mshana sina uchawi wowote wa kikwetu au wa kitaalamu lakini hisia zangu tu ni kwamba mwisho wa mchezo mtakuwa mmefungwa 1- 0 na wengi hawataamini na wengine wataanza kuamini maneno ya mitume wa Kawe na Ubungo kwani neno litakuwa limetimia


Jr[emoji769]
 
Are we prepared?


Jr[emoji769]
 
Kwetu sidhani mkuu,tumeona majirani serikali imemsaidia corona kuua raia wake,tuendelee kujikinga kwa kadiri inavyowezekana na kujiepusha kukaa kwenye misongamano,pia kama hauna issue ni bora kutulia home kama mimi ninavyofanya leo.

macson
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Qn
 
Kwa hali inavyoendelea quarantine nchi nzima inakuja.. Inawezekana viongozi wamekubali ushauri na kijifunza toka kwa walioathirika kabla

Ni wazi muingiliano wa watu ndio kichokoo kikubwa cha kueneza virus wa corona.. Kusafiri, na kuhama sehemu moja kwenda nyingine.. Mizunguko ya siku nzima tunakutana na watu anuwai...
Toka kila sehemu.. Jioni tunarudi majumbani kwetu je tunakuwa tumesalimika kiasi gani?

Kukipambazuka tunaelekea makazini kwetu inawezekana kabisa wewe uko salama na umezingatia taratibu zote za kinga lakini je vipi jirani yako? Jana alipita wapi? Alikutana na nani? Je yuko salama? Je kazingatia tahadhari zote za kinga?

Muda unakimbia kwa kasi sana... Jiandae sasa, weka akiba ya chakula ndani, maji na kila chenye umuhimu... Tunaweza tusimalize wiki kabla hatujatangaziwa habari mbaya ya TOTAL LOCK DOWN... Hujachelewa anza sasa

Jr[emoji769]
Hakuna Lockdown Tanzania kamwe!
 
Hivi mtu ana njaa halafu umwambie akae ndani? Bora kufa kwa risasi za polisi au Corona kuliko njaa na kiu, maana njaa na kiu vinaua kwa mateso makali sana, lakini polisi akikupiga risasi unakufa papo hapo, au Corona ndani ya siku chache tu unakufa
 
Kwa hali inavyoendelea quarantine nchi nzima inakuja.. Inawezekana viongozi wamekubali ushauri na kijifunza toka kwa walioathirika kabla

Ni wazi muingiliano wa watu ndio kichokoo kikubwa cha kueneza virus wa corona.. Kusafiri, na kuhama sehemu moja kwenda nyingine.. Mizunguko ya siku nzima tunakutana na watu anuwai...
Toka kila sehemu.. Jioni tunarudi majumbani kwetu je tunakuwa tumesalimika kiasi gani?

Kukipambazuka tunaelekea makazini kwetu inawezekana kabisa wewe uko salama na umezingatia taratibu zote za kinga lakini je vipi jirani yako? Jana alipita wapi? Alikutana na nani? Je yuko salama? Je kazingatia tahadhari zote za kinga?

Muda unakimbia kwa kasi sana... Jiandae sasa, weka akiba ya chakula ndani, maji na kila chenye umuhimu... Tunaweza tusimalize wiki kabla hatujatangaziwa habari mbaya ya TOTAL LOCK DOWN... Hujachelewa anza sasa

Jr[emoji769]
Sidhani na siamini kama "total" au "partial lockdown" ndiyo mwrobaini wa kuzuia kusambaa kwa virusi vya korona. Yeyote mwenye mawazo hayo ni mwenye uwezo wa kumudu maisha hata akijifungia ndani. Kama ni hivyo kwa nini asifanye yeye na familia yake?

Mworobaini ulio na uhakika ni kwa Serikali kutoa msaada wa vikinga ugonjwa huo (masks + sanitisers + maji + sabuni) pale inapolazika watu kukusanyika km vituo vya magari ya abiria, hospitali na sokoni. Ni pamoja na kilammoja wetu kuzingatia ushauri wa kitaalamu bila shurti.
 
Sikutegemea ushauri mbaya kiasi hiki kutoka kwa mtu kama wewe, sitegemei mtu kama wewe usiwe unaona panic ya huko nje jinsi inavyofanya watu wanasafisha malls na supermarkets sababu wanahofia vitu kuisha.

Watu wanachotakiwa kufanya ni kuwa watulivu, biashara ya bidhaa muhimu kwa binadamu zitaendelea kuwepo na hazitafungwa. Ukisema kila mtu aweke stock ndani unakosea sababu kutakuwa na scramble ya hizo bidhaa.

Kumbuka lockdown haimaanishi kwamba watu hawaruhusiwi kutoka nje, kinachotakiwa kufanywa ni kuhakikisha ndani ya familia anatoka mtu mmoja kwenda kufuata mahitaji muhimu.

Unforgetable
 
Kwa hali inavyoendelea quarantine nchi nzima inakuja.. Inawezekana viongozi wamekubali ushauri na kijifunza toka kwa walioathirika kabla

Ni wazi muingiliano wa watu ndio kichokoo kikubwa cha kueneza virus wa corona.. Kusafiri, na kuhama sehemu moja kwenda nyingine.. Mizunguko ya siku nzima tunakutana na watu anuwai...
Toka kila sehemu.. Jioni tunarudi majumbani kwetu je tunakuwa tumesalimika kiasi gani?

Kukipambazuka tunaelekea makazini kwetu inawezekana kabisa wewe uko salama na umezingatia taratibu zote za kinga lakini je vipi jirani yako? Jana alipita wapi? Alikutana na nani? Je yuko salama? Je kazingatia tahadhari zote za kinga?

Muda unakimbia kwa kasi sana... Jiandae sasa, weka akiba ya chakula ndani, maji na kila chenye umuhimu... Tunaweza tusimalize wiki kabla hatujatangaziwa habari mbaya ya TOTAL LOCK DOWN... Hujachelewa anza sasa

Jr[emoji769]
Mshana Jr, Dsm mwishoni mwa mwaka jana (2019) kulikuwa na mlipuko wa mafua makali, hadi Wizara ya Afya ikalazimika kutoa tamko la tahadhari. Waliopatwa na mfua hayo walikuwa na dalili zote za ugonjwa wa COVID-19. Yawezekana kuna waliopoteza maisha lakini umepita bila "lickdown" au masharti ya kujikinga na maambukizi kama sasa.
 
Looh salale...


Jr[emoji769]
 
Tuige Kenya wao hawatoki usiku tu na wamezuia watu kutoka na kuingia Nairobi. Lockdown hapa kweli itakuwa na madhara makubwa kuliko corona yenyewe
Tusiige tu tuwe na ushahidi wa kile tunachokiiga
 
.


Jr[emoji769]
 
South Africa wameshindwa, watu wameona bora kufa kwa covid 19 kuliko njaa. Kwa Africa kumwambia mtu total lockdown ni kumwambia akafe njaa nyumbani kwake.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom