Kuna uwezekano Prince Dube aliingia uwanjani akiwa na wenge la pombe ya usiku (hanging over) Yanga kuna tatizo kubwa.

Kuna uwezekano Prince Dube aliingia uwanjani akiwa na wenge la pombe ya usiku (hanging over) Yanga kuna tatizo kubwa.

OMOYOGWANE

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2016
Posts
4,701
Reaction score
11,920
Mpaka sasanikitizama video za marudio ya mechi ya Yanga vs Al hilal nikiangalia jinsi ambavyo prince Dube alikuwa anaanguka peke yake bila kuguswa 😆 tena yupo kwenye position ya kufunga anaanguka kama walevi wa ambiance au K vant
Mpaka wqchezaji wa Al hilal wakawa wanaonyesha ishara ya kumshangaa na kumuuliza kama anashida yeyote

Ni wazi kuna uwezekano alikesha bar akaamkia uwanjani au alibugia konyagi ndogo muda mfupi kabla ya mechi kuanza mnaotumia pombe nadhani mtanielewa kwa haraka zaidi.

Mbaya zaidi kocha anamuacha acheze dakika 90 sijui hana macho au huwa haoni vizuri?

Kuna tatizo kwenye timu yetu huenda Tumesajili walevi.

Huu ndio ukweli

Nawasilisha.
 
Misumali alopigwa na wapemba si ya DUNIA hii
Inabidi tumuombe SIMBA aongee na alisis
au JINI BAKORA atupe dawa tumuague DUBE wetu
 
Misumali alopigwa na wapemba si ya DUNIA hii
Inabidi tumuombe SIMBA aongee na alisis
au JINI BAKORA atupe dawa tumuague DUBE wetu
Nendeni kilwa Kisiwani kwa yule fundi wa Mama ake na Zungu Pori , yule fundi anae ua kabisa jina la adui likipelekwa kwake leo kesho anazikwa. Huyo ndo anaweza kumuagua dube na kuondoa bundi anae itesa Yanga
 
MWANAMFALUMEEE
1732702441150.jpg



Hapa anaanguka
 
Jana ki ukweli sikuelewa jamaa alikua na shida gani ile gemu ilitakiwa iishe kipindi cha kwanza tu..
Kabla ya kipindi cha pili kuwapiga nyingine kama tatu wale walitakiwa kufa sio chini ya goli nne hadi tano..
Dube kaharibu sana jana tena sana..
 
F
Mpaka sasanikitizama video za marudio ya mechi ya Yanga vs Al hilal nikiangalia jinsi ambavyo prince Dube alikuwa anaanguka peke yake bila kuguswa 😆 tena yupo kwenye position ya kufunga anaanguka kama walevi wa ambiance au K vant
Mpaka wqchezaji wa Al hilal wakawa wanaonyesha ishara ya kumshangaa na kumuuliza kama anashida yeyote

Ni wazi kuna uwezekano alikesha bar akaamkia uwanjani au alibugia konyagi ndogo muda mfupi kabla ya mechi kuanza mnaotumia pombe nadhani mtanielewa kwa haraka zaidi.

Mbaya zaidi kocha anamuacha acheze dakika 90 sijui hana macho au huwa haoni vizuri?

Kuna tatizo kwenye timu yetu huenda Tumesajili walevi.

Huu ndio ukweli

Nawasilisha.
Mtawalaumu sana wachezaji ila mnakiwa kufahamu kuwa kamati za ufundi ndizo zinazomfanya mtu ashinde kufanya maamuzi sahii na kwa wakati sahii.
 
Mbaya zaidi kocha anamuacha acheze dakika 90 sijui hana macho au huwa haoni vizuri?
Tatizo lipo kwa eng, huyo kocha yeye anachojali ni maokoto tu,.

Dube pia hana tatizo maana hata akikosa magoli kisa kakesha club hakatwi mshahara..

Tatizo lipo kwa viongozi...

Mi naona tumpe Magoma hii team yake ataiweka sawa
 
Back
Top Bottom