Habari wakuu,
Kama wanadamu tuna kasoro na mapungufu mengi ambayo katika hali ya kawaida ni kama tumeumbwa navyo yani huyo ndo wewe huwezi kumbadilisha.
Katika hali hii wengi wanapata shida kuishi na watu ata wenza wao wanajikuta wanakuwa kero kwa watu wanaowazunguka.
Wakati mwingine inatesa kwasabbu unatamani kuacha lakini inakuwa ngumu au unajikuta unateseka kuacha, kwa mfano mtu unaongea sana na unajikuta maeneo mengi unakuwa unakataliwa au kukimbiwa kwa sababu ya mdomo na umelijua hilo unatamani kuacha lakini unashindwa.
Twende kwenye mfano halisi; mimi katika jamii nilizoishi katika nyakati tofauti nimejikuta naambiwa nina dharau hasa na wanawake nmejitaidi kujaribu sasa kuongeza mazoea ya kuongea na kusalimia watu hili huu mtazamo kwa watu upungue na nisipewe hiyo sifa mbaya. Inaniwia ugumu lakini nmeamua nitabadilsha hii tabia ambayo ni kama ndo mimi sasa siwezi kujikataa!
Je, inawezakana kuacha tabia mbaya ambazo huko nazo na unajijua uko nazo na ni kero kwa mkeo, watoto ,ndugu, jamii na watu wanaokuzunguka?
Kama wanadamu tuna kasoro na mapungufu mengi ambayo katika hali ya kawaida ni kama tumeumbwa navyo yani huyo ndo wewe huwezi kumbadilisha.
Katika hali hii wengi wanapata shida kuishi na watu ata wenza wao wanajikuta wanakuwa kero kwa watu wanaowazunguka.
Wakati mwingine inatesa kwasabbu unatamani kuacha lakini inakuwa ngumu au unajikuta unateseka kuacha, kwa mfano mtu unaongea sana na unajikuta maeneo mengi unakuwa unakataliwa au kukimbiwa kwa sababu ya mdomo na umelijua hilo unatamani kuacha lakini unashindwa.
Twende kwenye mfano halisi; mimi katika jamii nilizoishi katika nyakati tofauti nimejikuta naambiwa nina dharau hasa na wanawake nmejitaidi kujaribu sasa kuongeza mazoea ya kuongea na kusalimia watu hili huu mtazamo kwa watu upungue na nisipewe hiyo sifa mbaya. Inaniwia ugumu lakini nmeamua nitabadilsha hii tabia ambayo ni kama ndo mimi sasa siwezi kujikataa!
Je, inawezakana kuacha tabia mbaya ambazo huko nazo na unajijua uko nazo na ni kero kwa mkeo, watoto ,ndugu, jamii na watu wanaokuzunguka?